Diamond vs Harmonize: What goes around...

Kwa mziki wa kitanzania asikudanganye mtu juu ya uhusika wa the late Ruge, ukiwa karibu na watu walioko kwenye industry hii ndo wanajua umuhimu wake katika mafanikio ya msanii mmoja mmoja. The man was born tactics and strategist.
 
Kwa mziki wa kitanzania asikudanganye mtu juu ya uhusika wa the late Ruge, ukiwa karibu na watu walioko kwenye industry hii ndo wanajua umuhimu wake katika mafanikio ya msanii mmoja mmoja. The man was born tactics and strategist.
Hoja ni kwamba Diamond alikuwa chini ya Ruge na alitolewa na Ruge!! Issue sio kuhusika kwa Ruge! Ruge alikuwapo kwenye entertainment industry kwa muda mrefu, na kwahiyo amehusika kwa namna moja au nyingine kwa wasanii wa mbali mbali! Kinyume chake, nawe nakuona ni kama wengine wote! Ruge! Ruge! Lakini nikiwauliza maswahili kuhusu Ruge, hamjibu!!!
 
Umewashika bapaya mkuu wanabakia kutukana.
 
hivi kweli unajua unachokiongea mdogo wangu?
 
Wewe ni Matusi,Matusi na wewe
 
Habari azipendazo Mondi kuongelewa ni kama hii sio mnazojadili...

 
Diamond alikuwa underground 2015??unajua unachokiandika kweli??
 
Hatimae daah🙌🙌🙌
 
Hapa ukiwa na akili zako timamu
 
Umejitahidi vizuri kueleza umetibua Uzi wako tu kwa kusema kiba alimsaidia mondi hapa ndo umeonesha mziki ujui na Wala hufatilii.
Una id ngapi

Innocent dependent
Hziyech22
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…