Diamond vs IPP or Diamond vs EATV

Diamond vs IPP or Diamond vs EATV

Kendrick Rama

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2019
Posts
409
Reaction score
456
Kabla ya kuitwa channel 5 (EATV) ilifahamika kama ITV2, mnamo mwaka wa 2004 ndipo ilibadilishwa jina na kuitwa EATV au channel 5.

Inafahamika ITV na EATV zote ni Mali za mtu mmoja na kampuni ni moja (ipp) media, sasa kitu kinachonipa maswali kivipi Diamond platinumz nyimbo zake zinachezwa ITV na wakati huohuo hazichezwi EATV.

Inaama zaidi ya miaka 3 sasa eatv hawachezi ngoma za diamond na wakati huo hku itv wenyew hawana habari wanaluka tuh quarantin, hapo ndio sijajua wakati mmiliki ni mmoja kama ilivyo kwa clouds na choice wote awapigi ngoma za diamond.

mwenye uelewa pliiz anisaidie hl
 
Clouds plus na clouds TV zote za mtu moja The same kwa choice FM na clouds FM zote za mtu huyohuyo jiulize iweje clouds plus na choice FM wanacheza ngoma za diamond na kumzungumzia wakati clouds TV na FM hawachezi ngoma zake na hata kumzungumzia...Exercise
hapana mkuu choice hawachezi ngoma za diamond wala kumzungumzia
 
Majina teyari ni vitu viwili tofauti Umezungumzia ITV na Eatv nikampuni moja lakini haziingiliani katika utendaji wa kazi kila mtu anamuongo wake tofauti na mwenzie japokuwa ni kampuni moja

Nandio maana hata watangazaji wake hawawezi kubadilishana kila mtu anafanya kazi kutokana na mkataba wake na media aliosain.
 
Muwe mnafuatilia thread nyingine kabla hamjaanzisha zenu. Mbona imeelezwa vizuri tu kwenye thread nyingine. Tafuta uzi wa''wcb vs tht."
 
Back
Top Bottom