binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kwani unahitaji uone nini ili ujue kuwa wanapendana?Huyo mnaemwita ZARI yupo hapo kumtumia DOMO kama mradi tu!!! Jimama linawatoto lukuki leo uniambie ana mapenzi na huyo bwana!!! Itafika wakati atamkimbia na kurudi kwa watoto wake huko uganda.
Kwani unahitaji uone nini ili ujue kuwa wanapendana
Unaonekana unamchukia sana huyo unayemuita "Domo".Hawezi kumpenda DOMO zaidi ya watoto wake aliowaacha Uganda!!! Huo ndio ukweli kama huamini shauri yako; time will tell!!
Unaonekana unamchukia sana huyo unayemuita "Domo".
Mhhhh mhhhhhhh, kwaheri.Napenda sana nyimbo zake ila namuonea huruma CHAKA aliloingia!!!
Huyo mnaemwita ZARI yupo hapo kumtumia DOMO kama mradi tu!!! Jimama linawatoto lukuki leo uniambie ana mapenzi na huyo bwana!!! Itafika wakati atamkimbia na kurudi kwa watoto wake huko uganda.
Hapana aliyemwimbia "nenda kamwambie"Ni yule aliyemwimbia "Nitarejea".
Hata kama wameamua mwenyewe kuwa pamojaHuyo mnaemwita ZARI yupo hapo kumtumia DOMO kama mradi tu!!! Jimama linawatoto lukuki leo uniambie ana mapenzi na huyo bwana!!! Itafika wakati atamkimbia na kurudi kwa watoto wake huko uganda.
Mbona washaachana wiki ya tatu sasa nenda kazibe pengo la Zari.Huyo mnaemwita ZARI yupo hapo kumtumia DOMO kama mradi tu!!! Jimama linawatoto lukuki leo uniambie ana mapenzi na huyo bwana!!! Itafika wakati atamkimbia na kurudi kwa watoto wake huko uganda.
Mbona washaachana wiki ya tatu sasa nenda kazibe pengo la Zari.
Acha uongo bhana.! Hizo tishirt ndo zimeingia sokoni karibuni., zimetoka mwaka jana hizo. Hiyo picha ni mtu anayefanana naye kwa mbaaali au watu wame-edit. Ila huyo siyo Diamond