Anajuteje? Halipwi?Ni ujinga wa hali ya juu mtangazaji kuhama kutoka radio kubwa inayosikika nchi nzima kisha kukimbilia kwenye kiradio kinachosikika mkoa mmoja/miwili.
Kina Maulid Kitenge washaanza kujuta.
Unforgetable
Mmeanza kupigiana chapuo sio??
Anyway siyo mbaya
Mkuu B 12 kwema?...Ni ujinga wa hali ya juu mtangazaji kuhama kutoka radio kubwa inayosikika nchi nzima kisha kukimbilia kwenye kiradio kinachosikika mkoa mmoja/miwili.
Kina Maulid Kitenge washaanza kujuta.
Unforgetable
Acha mhemko wewe kuna watu wanawasikiliza kupitia platforms mbalimbali, hiyo unayoita radio ndogo ina subscribers million moja na ushee YouTubeNi ujinga wa hali ya juu mtangazaji kuhama kutoka radio kubwa inayosikika nchi nzima kisha kukimbilia kwenye kiradio kinachosikika mkoa mmoja/miwili.
Kina Maulid Kitenge washaanza kujuta.
Unforgetable
Ni ujinga wa hali ya juu mtangazaji kuhama kutoka radio kubwa inayosikika nchi nzima kisha kukimbilia kwenye kiradio kinachosikika mkoa mmoja/miwili.
Kina Maulid Kitenge washaanza kujuta.
Unforgetable
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu B 12 kwema?...
Unafatilia kipindi chao rakini? Au wivuHawa jamaaa hua hawajui hata kuongea asee,Hua wanabwabwaja tuu,pronounciation ya maneno ya kingereza ni zero....dahh hakuna wanachojua hawa[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio tuwanyime ugari akina gwamakaWatangazaji na wachumbuzi walioko kwenye sport arena kwa mtazamo wangu wanatosha.