Diamond was right, Zari is desperate..

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Zari umeni let down bhana , Talking about Tanasha? Like seriously? That’s how boss lady behaves ?, yan that’s too low kwa kweli yan umeniboa kupitiliza, now ndo naamini why diamond said huja move on , and he was right , how could you open your mouth about tanasha? Mbona Tanasha hana muda na Ex wa domo? Zari mswahili sana na wewe mpaka unaboa, Kwan ulitumwa kubeba Mimba?, c ulibeba kwa raha zako , endelea kulea sasa mwenyewe kwanza c unasemag wewe bosslady au ? Sasa kutwa kushinda mitandaon kujifanya unamshauri tanasha mxiie
 
Tuwekee screenshot basi wengine hatutumiagi IG
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]binamu bwana!kwani ndo umejua Leo kua ndo mswahili au haja move on!!!

Diamond anamjua Zari kuliko mtu yoyote mwingine baada ya Ivan na alolala nao wengine!

Mondi anavyosema ana maanisha haswaa ingawa kwa kua hatumpendi mtoto wa tandale ndo tunamchamba!!
Kiukweli Zari anampenda sana Diamond!!ila ndo hvyo tena mtoto wa bi Sanura kashaghairi
 
Bosslady wapi bwana wewe!!huyo bibi hana Ishu...Showoff zinammaliza,anapenda umaarufu kupitiliza!!
.
Ila nilichojifunza ni kwamba kama huna uhakika na kitu basi usikimbilie kumuacha mtu...inauma sana kumuacha mtu uliesema ni malaya,halafu akaja akapata mtu mzuri na akatulia sàna,hakika inauma!!Zari alitegemea Tanasha ni demu wa kupita tu,sasa kumbe Diamond ndio ameweka kambi!!.
.
Sikuzote nasemaga anayeacha anaumia zaidi kuliko anaeachwa!!ukiachwa ni rahisi sana kumoveon kuliko ukiacha[emoji1787]muda wote unatamani uliemuacha aendelee kuharibu ili ujione ulikua sahihi kumuacha...sasa ukiona ametulia,anafanya mambo yake na hana habari na wewe haloooo inaumaaa!!!
 
Purukushani za mondi na zari [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu zari uswahili umemzdi mbona diamond amzungumzii boyfriend wake inakuaje yeye amzungumzie tanasha.Inavyoonekana Ni kweli huyu dada ndo ametemwa na diamond happy tu ajamuoa tanasha bado je akimuoa tanasha huyo zari si atakua chizi kabisa maana hayo mapovu anayotoa utazani alidhurumiwa kitu Cha thamani
 
Mbona kutwa na maisha ya celebrities, nyie yenu mbona hayaripotiwi
 
Zari amepagawa kwa kweli inaonekana alikuwa ana mpenda Sana diamond na akazani uhusiano wa mond na tanasha utakuwa zimamoto kumbe ndo unapamba Moto tatizo huyo kingbae wake Kiki Hana na yeye ameshazoea maisha ya Kiki.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!washaambiwa ukiachwa achika hawataki kukubali!
Dada yangu aliniambiaga km unampenda mwanaume usimuache,itakula kwako...maana hakuna kitu kigumu km kumov on...its a process very long!!!
 
Ukiachwa unajua hii siyo riziki yako,ila ukiacha ukitendwa huko unaanza kukumbuka nyuma na kuumia,heri kuachwa kuliko kuacha kama hujajipanga
 
Zari yupo juu ndio maana unamuandika.. na anapendwa sanaaaaa.. domo hatoi nyimbo bila kumtaja.. mengine ni po po poooo

Amuongelee tu.. yeye kwanini hamkatazi bwanake kuongelea ma ex.. kisa ajijenge tu kimuziki kupitia domo

Zari nae acha awaongeleeee na badooooo

Atabaki kuwa juuuu...



Hii chini AKIWA NA ZARI vs MWAKA MMOJA BAADA YA KUACHWA
 
Diamond sio mwenzako yule anaweza kulisha ukoo wako mzima.Girlfriend wako zari lini amekuwa mshauri wa mahusiano ya diamond? Tuanzie hapo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…