Hii itakuwa kutafuta kiki baada ya kupwaya.Kupitia millardiayo exclusive hit maker wa bongo flavour akiri kuwa waziri fulani wa nishati alikuwa anammegea demu wake na wakati huo huo alikuwa anampa tenda za kuimba nyimbo za kupromote umeme kwa kodi zetu.
Huyu sijui ni waziri gani mwanaharamu
Kapwaya wapiHii itakuwa kutafuta kiki baada ya kupwaya.
Itakuwa mmoja ktk wale vijana ila Demu sio wakuuliza anajulikana tu.
Kupitia Millard Ayo exclusive, hit maker wa bongo flavour akiri kuwa waziri fulani wa nishati alikuwa anammegea demu wake na wakati huo huo alikuwa anampa tenda za kuimba nyimbo za kupromote umeme kwa kodi zetu.
Huyu sijui ni waziri gani mwanaharamu
HaaaaaaaaaaaKuchapiwa ni siri ya ndani.....