DIAMOND, WEMA Wachapana Makofi kisa Penzi la Diamond na Victoria Kimani

DIAMOND, WEMA Wachapana Makofi kisa Penzi la Diamond na Victoria Kimani

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Kutoka kwa shuhuda wetu, jana March 13 2014 kulitokea ugomvi studio baada ya Ommy Dimpoz kupost picha akiwa studio na Diamond na mwimbaji Mkenya Victoria Kimani ambae amewahi kuingia kwenye headlines kwamba ana uhusiano wa kimapenzi na Diamond.

Shuhuda anasema tatizo lilikuja baada ya video hiyo kusambaa na kumbe Diamond hakumuaga mpenzi wake Wema kwamba angekua studio na Victoria, hapo ndio Wema anadaiwa kwenda na kufanya fujo studio.
 
money stuna unatupiga fiksi.. hizo habari za bongo umepata wapi we mbeba box?
 
money stuna unatupiga fiksi.. hizo habari za bongo umepata wapi we mbeba box?

Dunia ni kama kijiji kidogo sasa hivi,unaweza ukawa Tz nikawa mbali lakini nikawa wa kwanza kupata matukio yanayotokea Tz
 
Halafu nasikia karudiana na penny kwa siri na nyumba anayoish penny ye ndo kampangia, halafu kamakataza penny kuweka picha za ndomo mitandaon , na huyo Vicky had mama ndom anfaham nasikia ,ndomo hakyamung anatalizia Dada zetu
 
Wema kama anampenda kweli domo mbona hanywi sumu bana
Domo kula ujana haujaishaa banaa
 
Halafu nasikia karudiana na penny kwa siri na nyumba anayoish penny ye ndo kampangia, halafu kamakataza penny kuweka picha za ndomo mitandaon , na huyo Vicky had mama ndom anfaham nasikia ,ndomo hakyamung anatalizia Dada zetu

Daa! Jamaa anawapanga kama matofali.

Tanzania bila ..........inawezekana?
 
NDO ZAO hao warundi,hawaridhiki na mwanamke mmoja
 
Huyo wema atakuwa kakeketwa maana nasikia mwanamke ukikeketwa hata ufirigiswe vp huridhiki, wema ana dalili zote za kukeketwa
 
Domo anakula ujana waache wajipange 2 agonge atakavyo itafika mahali atakua, mana hayo maisha hakutegemea
 
Back
Top Bottom