Diarra kipa Bora ligi kuu NBC 2022-2023

Diarra kipa Bora ligi kuu NBC 2022-2023

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
🥇 KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra amefikisha clean sheet 16 katika Ligi Kuu na zikiwa zimebaki mechi tatu kwa kila timu ili kukamilisha msimu tayari ametangazwa Kipa Bora wa msimu kutoka na na kuwa na clean sheet 16 hadi sasa ambazo haziwezi kufikiwa na kipa yeyote. 🧤
2C310AD3-13D8-4C16-A94A-A736048C34D1.jpeg
 
Baada ya kazi kubwa ya msimu kwa ajili ya timu sasa ni muda wa wachezaji kupata faida ya jasho lao....hizi tuzo asilimia kubwa zitaenda yanga
 
Tuzo kibao zitaenda Yanga, mechi ijayo tunatangaza ubingwa.

Aisee huu ni mwaka wa mafanikio kwa wananchi.
Kongole wazee njano, kijani na NYEUSI.
 
Na Mayele pia apewe tu tuzo yake ya ufungaji bora. Maana hana mpinzani.

Yanga nayo ipewe kombe lao mapema iwezekanavyo.
Maana hakuna namna nyingine.
 
Mayele walimkatili mwaka jana .....sasa njia nyeupe
 
Back
Top Bottom