Diarra: Mechi yangu bora ni hii ya juzi

Diarra: Mechi yangu bora ni hii ya juzi

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Huwa naangalia mechi za Simba, nawajua, kwahiyo nilimuona anavyocheza na nilifahamu akipata mpira eneo lile atafanya nini, nilijua ataenda kushoto na sikuwa na presha.

"Nilivyookoa sikuhama eneo nikasimama vile vile nilijua mpinzani atapiga nikaokoa tena"

Mechi yangu bora ya Simba na Yanga tangu nifike hapa ni hii ya juzi ya ushindi wa bao 1-0 kwasababu nilifika Tanzania siku ya mechi na nashukuru sana tulishinda, kiukweli hii ni mechi bora sana kwangu"

IMG_1629.jpeg
 
Ishu siyo kwenda kushoto, Ateba aliwahi kutanua kushoto wakati Diarra bado yuko mbali.

By the way, mnaosema Ateba angempa Kibu, pale Kibu angeitiwa offside akabaki kujilaumu kwa nini hakufunga mwenyewe. Move kama ile, mshambuliaji yoyote anajua kama unaona unaweza kufunga ni afadhali ujaribu mwenyewe kuliko kutoa pasi kwa mwenzio anayeweza kuwa offside.

Yanga imshukuru sana Diarra. Lile lingekuwa goli, Simba ingeenda halftime na hata goli mbili na kipindi cha pili pressure ya kutaka kurudisha wangeweza kufungwa zaidi. Ukishapigwa goli 3 halafu watu bado wanakuja kama nyuki, ni rahisi sana kufika 6.
 
Ishu siyo kwenda kushoto, Ateba aliwahi kutanua kushoto wakati Diarra bado yuko mbali.

By the way, mnaosema Ateba angempa Kibu, pale Kibu angeitiwa offside akabaki kujilaumu kwa nini hakufunga mwenyewe. Move kama ile, mshambuliaji yoyote anajua kama unaona unaweza kufunga ni afadhali ujaribu mwenyewe kuliko kutoa pasi kwa mwenzio anayeweza kuwa offside.

Yanga imshukuru sana Diarra. Lile lingekuwa goli, Simba ingeenda halftime na hata goli mbili na kipindi cha pili pressure ya kutaka kurudisha wangeweza kufungwa zaidi. Ukishapigwa goli 3 halafu watu bado wanakuja kama nyuki, ni rahisi sana kufika 6.
Hili utaishia kutamani tu.

Halitatokea.
 
Ishu siyo kwenda kushoto, Ateba aliwahi kutanua kushoto wakati Diarra bado yuko mbali.

By the way, mnaosema Ateba angempa Kibu, pale Kibu angeitiwa offside akabaki kujilaumu kwa nini hakufunga mwenyewe. Move kama ile, mshambuliaji yoyote anajua kama unaona unaweza kufunga ni afadhali ujaribu mwenyewe kuliko kutoa pasi kwa mwenzio anayeweza kuwa offside.

Yanga imshukuru sana Diarra. Lile lingekuwa goli, Simba ingeenda halftime na hata goli mbili na kipindi cha pili pressure ya kutaka kurudisha wangeweza kufungwa zaidi. Ukishapigwa goli 3 halafu watu bado wanakuja kama nyuki, ni rahisi sana kufika 6.
Kwa mara ya kwanza nimeona nimeona umeandika point.
 
Ishu siyo kwenda kushoto, Ateba aliwahi kutanua kushoto wakati Diarra bado yuko mbali.

By the way, mnaosema Ateba angempa Kibu, pale Kibu angeitiwa offside akabaki kujilaumu kwa nini hakufunga mwenyewe. Move kama ile, mshambuliaji yoyote anajua kama unaona unaweza kufunga ni afadhali ujaribu mwenyewe kuliko kutoa pasi kwa mwenzio anayeweza kuwa offside.

Yanga imshukuru sana Diarra. Lile lingekuwa goli, Simba ingeenda halftime na hata goli mbili na kipindi cha pili pressure ya kutaka kurudisha wangeweza kufungwa zaidi. Ukishapigwa goli 3 halafu watu bado wanakuja kama nyuki, ni rahisi sana kufika 6.
Kwanini wamshukuru wakati wanamlipa mshahara kwa kazi hiyo!
 
Ishu siyo kwenda kushoto, Ateba aliwahi kutanua kushoto wakati Diarra bado yuko mbali.

By the way, mnaosema Ateba angempa Kibu, pale Kibu angeitiwa offside akabaki kujilaumu kwa nini hakufunga mwenyewe. Move kama ile, mshambuliaji yoyote anajua kama unaona unaweza kufunga ni afadhali ujaribu mwenyewe kuliko kutoa pasi kwa mwenzio anayeweza kuwa offside.

Yanga imshukuru sana Diarra. Lile lingekuwa goli, Simba ingeenda halftime na hata goli mbili na kipindi cha pili pressure ya kutaka kurudisha wangeweza kufungwa zaidi. Ukishapigwa goli 3 halafu watu bado wanakuja kama nyuki, ni rahisi sana kufika 6.
Unajua mpira kweli?🤔 Kwamba kibu angepewa mpira ingekua offside🤔 kwani kibu alikuepo eneo lile kabla ateba hajafika pale ? Kibu alitoka nyuma uko
 
Ateba walifika na kibu katka eneo lile sio kwamba ateba angempa mpira kibu akiwa ktk eneo lile peke yake, ateba na kibu waliwaacha wachezaji wa yanga nyuma ,atebà alitoka nyuma na mpira . Magoli kama hayo yanafungwa sana ulaya unakuta ata wachezaji watano wa timu pinzani wapo na kipa
 
Maneno meeeengi baada ya kupata ushindi.Hivi angeokoa kama alivyofanya, ila akafungwa baadae kwa namna nyingine hizi tantarila anazoongea saa hizi angeziongea?
 
Unajua mpira kweli?🤔 Kwamba kibu angepewa mpira ingekua offside🤔 kwani kibu alikuepo eneo lile kabla ateba hajafika pale ? Kibu alitoka nyuma uko
Angalia tena tukio, wakati Ateba anapokea mpira, Kibu alikuwa mbele yake. Kama kuna wanaosema mguu wa Ateba ulimfanya kuwa offside, itakuwaje Kibu ambaye alikuwa mbele zaidi?
 
Ishu siyo kwenda kushoto, Ateba aliwahi kutanua kushoto wakati Diarra bado yuko mbali.

By the way, mnaosema Ateba angempa Kibu, pale Kibu angeitiwa offside akabaki kujilaumu kwa nini hakufunga mwenyewe. Move kama ile, mshambuliaji yoyote anajua kama unaona unaweza kufunga ni afadhali ujaribu mwenyewe kuliko kutoa pasi kwa mwenzio anayeweza kuwa offside.

Yanga imshukuru sana Diarra. Lile lingekuwa goli, Simba ingeenda halftime na hata goli mbili na kipindi cha pili pressure ya kutaka kurudisha wangeweza kufungwa zaidi. Ukishapigwa goli 3 halafu watu bado wanakuja kama nyuki, ni rahisi sana kufika 6.
Imebaki story tu za "wange" na "tunge".
 
Back
Top Bottom