Diaspora hawazungumzii katiba mpya, hakuna 'remittance' zao kwenye vitabu vya bajeti ya nchi; who are these diasporas? Ni kweli TZ ina diaspora?

Diaspora hawazungumzii katiba mpya, hakuna 'remittance' zao kwenye vitabu vya bajeti ya nchi; who are these diasporas? Ni kweli TZ ina diaspora?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ndugu zangu Diaspora tunapopigania uraia Pacha tuwe japo na data zakuonyesha mchango wetu kwenye uchumi WA Tanzania. Tuamue SASA kulazimisha remittance zisomeke kwenye vitabu vya hesabu, tukubali Kwamba huyu ndio wakati wa kuonyesha Tanzania ni Bora kuliko Taifa lolote na kwamba tulipoondoka Tz tulikwenda kutafuta.

Tuanze kujadili haya katika bajeti ya Mwaka huu inayotarajiwa kusomwa mwezi WA sita mwaka huu, tuache mbambamba tuonyeshe tupo serious na uraia Pacha na kwamba tupo tayari kujenga uchumi WA Tanzania. Wenzetu wanaposukuma agenda ya katiba mpya tumelala then tunategemea katiba yenye dual citizenship? NO, tuonyeshe tupo tayari kwenye mapigano ya katiba mpya.
 
Ndugu zangu Diaspora tunapopigania uraia Pacha tuwe japo na data zakuonyesha mchango wetu kwenye uchumi WA Tanzania. Tuamue SASA kulazimisha remittance zisomeke kwenye vitabu vya hesabu, tukubali Kwamba huyu ndio wakati wa kuonyesha Tanzania ni Bora kuliko Taifa lolote na kwamba tulipoondoka Tz tulikwenda kutafuta.

Tuanze kujadili haya katika bajeti ya Mwaka huu inayotarajiwa kusomwa mwezi WA sita mwaka huu, tuache mbambamba tuonyeshe tupo serious na uraia Pacha na kwamba tupo tayari kujenga uchumi WA Tanzania. Wenzetu wanaposukuma agenda ya katiba mpya tumelala then tunategemea katiba yenye dual citizenship? NO, tuonyeshe tupo tayari kwenye mapigano ya katiba mpya.
Hujaona Lema alivyoleta Remittances za haja
 
Kuna uncle alienda canada karudi kaanza kutupondea maisha yetu

Vicoba
Bodaboda
Kaenda mbali zaidi ugali hapo amekaa kwa vipindi na majira tu vipi hao wanaoishi kabisa hukohuko
 
Hivi wewe Una akili kweli ? Yaan Diaspora apoteze muda kwenye mambo hayo badala afanye mambo ya msingi ? Alafu unasema kwamba Diaspora wasililie uraia Pracha kisa atafte daraja la Mbowe na lema Kwenda IKULU ? Are you serious!

Katiba halisi anayoitaka MTANZANIA wa kawaida Siyo anayoitaka Lema, Zitto , Mbowe au hata kinana mwenyewe, hao ni kulinda maslahi Yao tu
 
mnavyoiona nchi ya Rwanda ni matokeo ya DIASPORA Sasa anayekataa diaspora ni mwendawazimu Kwa Karne hii ,yaani wewe ukisafiri na kutafuta Maisha Dar halafu ukirudi njombe unaambiwa hapa sio kwenye ni ujingaaaaa
 
Ndugu zangu Diaspora tunapopigania uraia Pacha tuwe japo na data zakuonyesha mchango wetu kwenye uchumi WA Tanzania. Tuamue SASA kulazimisha remittance zisomeke kwenye vitabu vya hesabu, tukubali Kwamba huyu ndio wakati wa kuonyesha Tanzania ni Bora kuliko Taifa lolote na kwamba tulipoondoka Tz tulikwenda kutafuta.

Tuanze kujadili haya katika bajeti ya Mwaka huu inayotarajiwa kusomwa mwezi WA sita mwaka huu, tuache mbambamba tuonyeshe tupo serious na uraia Pacha na kwamba tupo tayari kujenga uchumi WA Tanzania. Wenzetu wanaposukuma agenda ya katiba mpya tumelala then tunategemea katiba yenye dual citizenship? NO, tuonyeshe tupo tayari kwenye mapigano ya katiba mpya.
Uraia pacha sio hisani na hakuna diaspora ambaye hana wazazi na nduguze huku Nchini ambao wanatumiwa pesa!! Hivyo pesa nyingi tu zinatumwa na zinajulikana hata na serikali maana hazitumwi kwenye bahasha !!
 
Ndugu zangu Diaspora tunapopigania uraia Pacha tuwe japo na data zakuonyesha mchango wetu kwenye uchumi WA Tanzania. Tuamue SASA kulazimisha remittance zisomeke kwenye vitabu vya hesabu, tukubali Kwamba huyu ndio wakati wa kuonyesha Tanzania ni Bora kuliko Taifa lolote na kwamba tulipoondoka Tz tulikwenda kutafuta.

Tuanze kujadili haya katika bajeti ya Mwaka huu inayotarajiwa kusomwa mwezi WA sita mwaka huu, tuache mbambamba tuonyeshe tupo serious na uraia Pacha na kwamba tupo tayari kujenga uchumi WA Tanzania. Wenzetu wanaposukuma agenda ya katiba mpya tumelala then tunategemea katiba yenye dual citizenship? NO, tuonyeshe tupo tayari kwenye mapigano ya katiba mpya.
Ukitaka kutumia turufu hiyo ya 'remmitance' kuwa ndiyo jambo muhimu hutofika mbali, kwa sababu ni ndogo sana.
Hata dollar milioni 50 nina mashaka! Linganisha na dollar Bilion zaidi ya 4 ya hao majirani zetu hapo kaskazini.

Kuna mambo ya mhimu zaidi ya 'remittance' ya kuyatumia kama sababu za kutafuta kutambuliwa.

Lakini niseme hapa. Tanzania tumekuwa watu wa kuiga tu kila kinachofanywa na majirani zetu, sisi hatutumii ubunifu wetu wenyewe tukafanya mambo mengine ambayo tunaweza kuyafanya kwa ufanisi na kuleta tija kwetu.
Wenzetu wakilima maua na mbogamboga za majani, nasi tunakimbilia huko; wakiuza maparachichi kwa wingi, nasi akili zinaturuka, tunakimbilia huko. Wakimbizi wao wengi wakianza kuingiza pesa kwa wingi toka huko waliko, nasi tunataka hata kutelekeza lugha yetu kabisa ya Kiswahili, eti watu wetu hawapati kazi kwa sababu hawajui Kiingereza!
Huu upumbavu gani huu uliotuingia kichwani?
 
Back
Top Bottom