Kuna jamaa wanafuata itikadi zile za aliye juu mshushe muwe sawa.Huyo ndugu yako mmoja. Ha reflect matukio ya watu wote walioko nje.
Mbona wako wanaokuja kuzika na wanarudi nje kuendelea na kazi?
Hapa mtaani kwetu kuna mtu alimtembelea ndugu yake Dar na alimkuta ndugu yake anafanya biashara ya pombe za kienyeji kule Keko na alivyorudi kijijini akatangaza vijana wote waliokimbilia Dar wanauza pombe na kukaa juani kuuza maji Nafikiri hii ni tabia ya watu wa vijijini kama huyu mtoa madaHuyo ndugu yako mmoja. Ha reflect matukio ya watu wote walioko nje.
Mbona wako wanaokuja kuzika na wanarudi nje kuendelea na kazi?
Mtu aache maisha ya fedha na mshahara mkubwa aje kukosa ajira huko na kuishi chini ya dikteta? Hali ya Tz imekuwa mbaya zaidi ya siku zilizopita.Yapo mengi yatakayo washangaza, pale mtakaporudi, maisha hayo ya utumwa mliyonayo huko, ebu rudini nyumbani, huku nyumbani kumenoga, kama ni hizo kazi za kutunza wazee na kuosha vyombo mahotelini hata huku ziko rudini, wale ambao mlitusaliti baada ya kuelimishwa na Taifa tena bure mkakimbilia ulaya na Amerika kusaka hali bora na mishahara minono rudini huku kumeiva, ondoeni kizazi chenu katika maisha ya kubezwa na kuitwa manyani rudini nyumbani mbona tuko vizuri tu. Rais Magufuli ameiteitengeneza Nchi usipime, njooni muyafaidi machozinya ya Watanzania tulimlilia Mungu akatupa kiongozi makini Nchi inakwenda kasi usipime.
Yaan kila aliepo nje ni.mbeba maboksi.
According to data za wizara wengi waliopo nje ni wanafunzi na wafanya biashara.
Ni asilimia chache ambao wana permanent job huko.
Pamoja na baadhi ni walimu wa vyuo vikuu.
Sion haja ya kuponda watu walioko nje kisa wanatafuta life. Hiyo ni roho ya kimaskini
Kwamba maisha ya watoto wa jirani yako yana relfect diaspora wote? Data za wizara zinaeleza something else bro.Sijawapenda Mkuu but kubeba box ni inclusive zaidi hata walimu wanaweza kuingia humo
Kuna jirani yetu watoto wake wawili wapo germany na USA hawa wana permanent jobs
Ila wanatamani kurudi nyumbani, wanakiri life is so expensive
Mfanyakazi anayelipwa milion moja Tanzania anaweza kuwa na maisha mazuri zaidi kuliko mfanyakazi anayelipwa milion saba in western
Ume explain vizuriHapa mtaani kwetu kuna mtu alimtembelea ndugu yake Dar na alimkuta ndugu yake anafanya biashara ya pombe za kienyeji kule Keko na alivyorudi kijijini akatangaza vijana wote waliokimbilia Dar wanauza pombe na kukaa juani kuuza maji Nafikiri hii ni tabia ya watu wa vijijini kama huyu mtoa mada
Inaitwa roho mbaya. Na hii inatokana na umaskini na dhiki iliyokubuhu.Kuna jamaa wanafuata itikadi zile za aliye juu mshushe muwe sawa.
Kwamba maisha ya watoto wa jirani yako yana relfect diaspora wote?
Yes wapo. Thats why bado wanakuja . Nyumban hapa is not as if ni pabaya.I didn't mean this! Ila nimekupa mfano tu,simaanishi wanaishi maisha magumu Kwasababu wameajiriwa ila kila wakirudi holiday wanasema life is expensive better stay home kama unauhikika wa kuingiza million kwa mwezi
Western maisha ni mazuri kwa sababu wanapata mahitaji yote muhimu lkn kuna waliochapika pia
Kuna kamsemo ka kiswahili . Mtegemea Cha nduguye?.... We ndo mkubwa acha mawazo ya kimasikini kwa tuoffer tudogotudogo ..Kama iPhone na kusomeshewa..... Ukate viuno wewe wengine wakusomeshee what a shame... Ni Bora hiyo misaada ukaielekeza kwenywe mradi wa kukuingizia kipato.Mtoa mada wewe mchawi.Sisi mdogo wetu yuko kwa bibi na anasomesha watoto watano sekondary kwenye ukoo wetu watoto wawili ni wa kwangu na mtu akifa kwenye ukoo rambirambi anatoa yeye .Mimi ndo mkubwa na nina madogo mengine Dar na Arusha laki yule wa ulaya ni msaada mkubwa kwetu.Mwaka jana kaniletea iPhone 8 alisema sio mpya lakini uku ni kama mpya....Wewe wacha UJINGA
Wenye fikira kama hizo za kurudishana nyuma ndio wapo na pale uhamiaji, yaani mtanzania anawekewa vigezo vigumu kupata passport. Inshort wanadiscourage mtu masikini kupata passport ambayo ni halali yake, waache wakenya wazunguke sisi vijana wetu wabanane hapo hapo kitunda,kariakoo,mwenge, mwanjelwa nk .Kama akili za Watanzania ndo hizi.Ndo maana Afrika kusini wameamua kuchukua Walimu wa Kiswahili Kenya.Tuna vijana wengi Graduate mitaani wanaweza kabisa fundisha Kiswahili Afrika kusini lakini eti Kenya ndo wanachukua kazi eti sisi tunasema maisha magumu nje.
Akili za kimaskini sana hizi. Kama kumenoga si wapeni kazi hao maelfu ya vijana wanahangaika bila kazi?Yapo mengi yatakayo washangaza, pale mtakaporudi, maisha hayo ya utumwa mliyonayo huko, ebu rudini nyumbani, huku nyumbani kumenoga, kama ni hizo kazi za kutunza wazee na kuosha vyombo mahotelini hata huku ziko rudini.
Wale ambao mlitusaliti baada ya kuelimishwa na Taifa tena bure mkakimbilia ulaya na Amerika kusaka hali bora na mishahara minono rudini huku kumeiva, ondoeni kizazi chenu katika maisha ya kubezwa na kuitwa manyani rudini nyumbani mbona tuko vizuri tu.
Rais Magufuli ameiteitengeneza Nchi usipime, njooni muyafaidi machozinya ya Watanzania tulimlilia Mungu akatupa kiongozi makini Nchi inakwenda kasi usipime.
Yapo mengi yatakayo washangaza, pale mtakaporudi, maisha hayo ya utumwa mliyonayo huko, ebu rudini nyumbani, huku nyumbani kumenoga, kama ni hizo kazi za kutunza wazee na kuosha vyombo mahotelini hata huku ziko rudini.
Wale ambao mlitusaliti baada ya kuelimishwa na Taifa tena bure mkakimbilia ulaya na Amerika kusaka hali bora na mishahara minono rudini huku kumeiva, ondoeni kizazi chenu katika maisha ya kubezwa na kuitwa manyani rudini nyumbani mbona tuko vizuri tu.
Rais Magufuli ameiteitengeneza Nchi usipime, njooni muyafaidi machozinya ya Watanzania tulimlilia Mungu akatupa kiongozi makini Nchi inakwenda kasi usipime.
Kinachowauma ni usaliti, walisomeshwa na nchi kwa fedha za walipa kodi halafu wakaona hawawezi kututumikia wananchi.
Yapo mengi yatakayo washangaza, pale mtakaporudi, maisha hayo ya utumwa mliyonayo huko, ebu rudini nyumbani, huku nyumbani kumenoga, kama ni hizo kazi za kutunza wazee na kuosha vyombo mahotelini hata huku ziko rudini.
Wale ambao mlitusaliti baada ya kuelimishwa na Taifa tena bure mkakimbilia ulaya na Amerika kusaka hali bora na mishahara minono rudini huku kumeiva, ondoeni kizazi chenu katika maisha ya kubezwa na kuitwa manyani rudini nyumbani mbona tuko vizuri tu.
Rais Magufuli ameiteitengeneza Nchi usipime, njooni muyafaidi machozinya ya Watanzania tulimlilia Mungu akatupa kiongozi makini Nchi inakwenda kasi usipime.
Yaan kila aliepo nje ni.mbeba maboksi.
According to data za wizara wengi waliopo nje ni wanafunzi na wafanya biashara.
Ni asilimia chache ambao wana permanent job huko.
Pamoja na baadhi ni walimu wa vyuo vikuu.
Sion haja ya kuponda watu walioko nje kisa wanatafuta life. Hiyo ni roho ya kimaskini