Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Aisee!Mtoa mada wewe mchawi.Sisi mdogo wetu yuko kwa bibi na anasomesha watoto watano sekondary kwenye ukoo wetu watoto wawili ni wa kwangu na mtu akifa kwenye ukoo rambirambi anatoa yeye .Mimi ndo mkubwa na nina madogo mengine Dar na Arusha laki yule wa ulaya ni msaada mkubwa kwetu.Mwaka jana kaniletea iPhone 8 alisema sio mpya lakini uku ni kama mpya....Wewe wacha UJINGA
Thus madikteta wote upenda kuwafanya watu wawe masikini ili watawale.Huwezi ukamuinua masikini kwa kuwashusha matajiri,Bali watumie matajiri kuwainua masikini, masikini wanyonge future less people ni marafiki wa madikteta ni wepesi kupokea cheap propaganda udikteta unaendwa kwa propaganda na si Hali halisi,ni rahisi kwa wanyonge kuamini ajira milioni 6 zimetengezwa.Umasikini huzaa chuki na roho mbaya ambavyo uzaa uchawi.Palipo na uchawi pana umasikini hivi ni pacha.Inaitwa roho mbaya. Na hii inatokana na umaskini na dhiki iliyokubuhu.
Humfanya maskini atamani aliefanikiwa aporomoke ili awe level zake. Yaan yeye amekosa njia ya kupanda. Anataka wengine wafilisike kama yeye.
Hapa ndipo unajua umaskini hauleti tu ukosefu wa hela.. bali huvuruga akili, na kupandikiza hali ya kutaman wengine washuke.
"Palipo na umaskini na uchawi upo. Ni pacha"Thus madikteta wote upenda kuwafanya watu wawe masikini ili watawale.Huwezi ukamuinua masikini kwa kuwashusha matajiri,Bali watumie matajiri kuwainua masikini, masikini wanyonge future less people ni marafiki wa madikteta ni wepesi kupokea cheap propaganda udikteta unaendwa kwa propaganda na si Hali halisi,ni rahisi kwa wanyonge kuamini ajira milioni 6 zimetengezwa.Umasikini huzaa chuki na roho mbaya ambavyo uzaa uchawi.Palipo na uchawi pana umasikini hivi ni pacha.
Eti waje Tanzania kugeuzwa mandondocha wawe Kama kamanda Shana,Lusinde,Ally kesi,Msukuma,kawe Alumni,jingalao,bia yangu,magonjwa mtambuka,Bashite,prof wa jalalani and the like. Ila huyu Yesu wa CCM Mungu anamuona.!!!!!!!! KhaaaaYani waache kubeba box waje hapa tz kujiunga na praise team?
Huwezi kuta tajiri akawa mchawi Bali anaweza kuwa mshirikina yaani mshika madawa( fear of unknown syndrome)."Palipo na umaskini na uchawi upo. Ni pacha"
Hii sentensi yenye kujaa ukweli tupu.
Naona una utani na le mutuzKuna ndugu yetu aliondoka akaenda sweden kaishi miaka 24 akawa kutwa kututambia maisha yalivyo mazuri kule nk akipiga picha anavyo enjoy nk siku ikafika akafiwa na mama yake ikabidi arudi.Akakuta familia nzima wamnaenda mpokea akajua ohh kawaida!!
Kilichomshangaza akakuta ndugu zake wote wana magari.Akaambiwa msiba upo kwa mdogo wake wa mwisho .Kwenda hilo jumba alilolikuta hakuamini kama ni ya mdogo wake yeye miaka 24 kakaa ulaya yuko tu apartment anapanga hana cha kuonyesha!!!
Aliondoka kimya kimya baada ya msiba kurudi sweden ambako walishampa uraia.Sasa hivi hapigi simu email ukiandika hajibu!!!
anyway diaspora chumeni muje muwekeze kwenu msije sumbua watu mkifariki mnataka michango ya kusafirisha maiti itoke Tanzania
Yapo mengi yatakayo washangaza, pale mtakaporudi, maisha hayo ya utumwa mliyonayo huko, ebu rudini nyumbani, huku nyumbani kumenoga, kama ni hizo kazi za kutunza wazee na kuosha vyombo mahotelini hata huku ziko rudini.
Unajua maana ya kusomeshwa na nchi!?Kinachowauma ni usaliti, walisomeshwa na nchi kwa fedha za walipa kodi halafu wakaona hawawezi kututumikia wananchi.
Eti waje Tanzania kugeuzwa mandondocha wawe Kama kamanda Shana,Lusinde,Ally kesi,Msukuma,kawe Alumni,jingalao,bia yangu,magonjwa mtambuka,Bashite,prof wa jalalani and the like. Ila huyu Yesu wa CCM Mungu anamuona.!!!!!!!! Khaaaa
Kinachowauma ni usaliti, walisomeshwa na nchi kwa fedha za walipa kodi halafu wakaona hawawezi kututumikia wananchi.
Yapo mengi yatakayo washangaza, pale mtakaporudi, maisha hayo ya utumwa mliyonayo huko, ebu rudini nyumbani, huku nyumbani kumenoga, kama ni hizo kazi za kutunza wazee na kuosha vyombo mahotelini hata huku ziko rudini.
Wale ambao mlitusaliti baada ya kuelimishwa na Taifa tena bure mkakimbilia ulaya na Amerika kusaka hali bora na mishahara minono rudini huku kumeiva, ondoeni kizazi chenu katika maisha ya kubezwa na kuitwa manyani rudini nyumbani mbona tuko vizuri tu.
Rais Magufuli ameiteitengeneza Nchi usipime, njooni muyafaidi machozinya ya Watanzania tulimlilia Mungu akatupa kiongozi makini Nchi inakwenda kasi usipime.
[/QUOTES Sepaa huna lolote