Mwongo mkubwaInawezekana hujawahi kuishi Marekani kwa hiyo hujui kuwa wamarekani hawanyooshi nguo za casual. Ni zile formal dressing tu ndizo wanazonyoosha. Huyo jamaa pamoja na mke wake nguo zao hizo hazikupigwa pasi.
View attachment 2201604
Huyo jamaa na mke wake nguo walizovaa hazikupigwa pasi,
View attachment 2201617
Huyo Mama ndiyo Diaspora wote?Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Hizo ziko smart na pass zimenyooshwa utalinganisha na midabwada aliyovaa huyo mtanzania choka mbayaInawezekana hujawahi kuishi Marekani kwa hiyo hujui kuwa wamarekani hawanyooshi nguo za casual. Ni zile formal dressing tu ndizo wanazonyoosha. Huyo jamaa pamoja na mke wake nguo zao hizo hazikupigwa pasi.
View attachment 2201604
Huyo jamaa na mke wake nguo walizovaa hazikupigwa pasi,
View attachment 2201617
Tuwekee picha yako mkuu.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Huyu ni manka wa maranguKwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Ulitaka anenepe kama Hadija Kopa ndio ujue kama ana maisha mazuri,Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Jeans inapigwa pasi tangu lini
Hiyo kaikuta hapo anatest kama inamtosha. Hayo mengine unayajua wewe.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Usikute huyu aliyeandika haya ni diplomat wa huko huko Marekani mwenye machungu ya maisha. Ukweli ni kwamba mshahara aupatao diplomat wa kibongo huko Marekani hautofautiani na aupatao mbeba mabox, unaweza kukuta mbeba mabox anapata mashahara mzuri zaidi shinda mfanyakazi wa ubalozi na ndiyo maana Watanzania walio wengi wanaojuwa ukweli hawataki kufanya kazi Ubalozini sababu hakuna hela. Huyu Mama hata kama anaishi kwa pensheni huko Marekani yuko juu ya any diplomat, waje kubisha hapa na tuwekeane salary slips.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Bibi yupo shabby. Atakuwa anaishi homeless shelter huyu kafuata free t-shirt. Alivyo mfupi. tshirt hadi kwenye magoti.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Hazikunyooshwa walizovaa hao; zinatoka kwenye drier zikiwa damp na kuning'inizwa kwenya hanger tayari kwa kuvaliwa. Umeshawahi kuona ngua anazoaa Mack Zuckerbeg au alizokuwa akivaa marehem Steve Jobs?Hizo ziko smart na pass zimenyooshwa utalinganisha na midabwada aliyovaa huyo mtanzania choka mbaya
Mnapoteza muda wenu kubishana na huyu mla vumbi chokambaya na wenzake. Hana hata uhakika wa mlo wake wa kesho, kazi kunukisha kikwapa kwenye daladala.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Na kweli aweke na picha ya mama yake tuthaminishe kama ana uzuri wa huyo mamaAkili za Lumumba mnazijua wenyewe.
Kwa akili yako mtu akiwa US anazeeka tofauti na yule wa Bongo. Weka picha ya Mama yako tufanye comparison...!!