Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Haaaa haaaa wabongo ni balaa .wengi wanadhani uchumi ni busha .huyo beberu wa bongo akiingia state akakuta prof anadunda na bike huku suruali imetoboka sijui atasemaje. Wabongo wanaangalia appearance unakuta mtu home hata book haachi lakini mkanda nje utadhani dangote.Unaijua lifestyle ya watu wanaokaa huko na mavazi yao yalivyo........hao watu kuvaa smart sijui mkanda nje na suti siyo priority yao. Wewe kisa hujawahi kutoka hapa tandale unafikiri lifestyle za watu zinafanana kote duniani......
Asitupigie kelele aende zake akachunge moo kule chato kwaoYaan Chinembe unajihaibisha Sana.Kwanza inaonekana ww ni Chawa tu.Huna nyuma Wala mbele.Chawa unayelipwa kwa kuandika upuuzi humu JF na yule aliyepo State anapiga mzigo Nani amechoka maisha?
Bongo watu wakipanda basi huwa kuna vikwapa fulani kwenye joto vikijimix huwa nahisi vinaweza fanya biological weapon .huyo jamaa utakuta amekalisha p****mbuz huku anatukana .Niko vizuri mkuu, ndizi nyama, mboga draft, matunda kama edeni
.Mnatafuta justification ya kuendeleza Udikiteta na ukandamizaji lakini mwisho wenu uko karibu. Huyo aliyepigika Marekani na wewe unayeishi Kwa kutegemea kujipendekeza Kwa DC mnalingana?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Frustrations zao wanazimalizia kwenye katiba mpyaKwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Mkuu nakushauri kwenye ID yako ondoa hiyo "Chi" uweke "Ki"Mtu anakaa USA hamiliki hata pasi ya kunyooshea nguo, hata ya mkaa? Achilia mbali ya umeme?
Wasaka katiba mpya ndio kazi za kufanya hamnaSio jazba bali kuna upotoshaji wa makusudi ili mradi nguo imefuliwa kwenye washing machine na kukaushwa!! Watu wako busy na kazi kusaka $$$$ hawana muda wa kuremba remba!! Nyie hamna kazi ndio maana mna muda wa kupoteza kupiga nguo pasi.
Wanatumia katiba mpya ku steam out frustration zaoFrustrations zao wanazimalizia kwenye katiba mpya
Madiplomat wa Tanzania bwana kwa kujitoa ufahamu, hawajambo. Sasa mnataka avaaje huyu Mama, aje kwenye mkutano kavaa suti na tie wakati ni mkutano tu wa kawaida? Sidhani kama kuna diplomat yeyote kule Marekani anamshinda Mtanzania afanyaye kazi kuuza duka, madiplomat hawana issue kwanza serikali yenyewe haina hela, huo mshahara mkubwa wapate wapi hao madiplomat? Mtazidi kulia sana kwa ushamba wenu wakati wenzenu wabeba mabox wanawaacha mbali kimaendeleo.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
NILIJUWA UELEWA WAKO UKO JUU LAKINI UMENIANGUSHA.HAKUNA NCHI DUNIANI YENYE MATAJIRI TUPU HATA IKIWA KILA HUDUMA INAWAFIKIA ANANCHI KWA WAKATI.TOFAUTI LAZIMA.KWENYE UZI WAKO MALIZIA TU KUWA HOJA YAKO KUU UNAPINGA KATIBA MPYA.Kwa kweli ukiangalia picha za hao Diaspora, unaweza kuyasoma maisha yao. Hakika wamepigika kimaisha, lakini wanaishi katika nchi yenye katiba bora kabisa, na uchumi mkubwa, nadhani tunahitaji mjadala mpana, maana Sasa hivi hata mtu tumbo likijaa gesi, unamsikia anasema solution ni katiba mpya.View attachment 2201444
Muangalie huyu mama, hata kunyoosha nguo hawezi, t-shirt chafu imejikunja kama imeliwa na ndama. Pia hata ukimsoma ni mtu mwenye matatizo ya kiuchumi. Pia inaonekana kazeekea huko U.S.A lakini hakuna alichofanikiwa kimaisha
Jamaa kipimo chake cha kuwa na maisha mazuri ni kupiga pamba kali, wazungu na hata black americans hawana mbwembwe sana kwenye mavazi.........unaweza kuta katupia nguo utafikiri tambara la kudekia na wala hajali, ndo maana wengi hadi maofisini wanavaa casually tu wakati bongo watu wanawekewa hadi sheria za mavazi maofisini.......eti kuvaa jinsi ofisini ni kosa, wakati huko wanako kopi na ku paste sheria wanapiga hadi kaptula ofisini, sembuse suruali ya jinsi......Haaaa haaaa wabongo ni balaa .wengi wanadhani uchumi ni busha .huyo beberu wa bongo akiingia state akakuta prof anadunda na bike huku suruali imetoboka sijui atasemaje. Wabongo wanaangalia appearance unakuta mtu home hata book haachi lakini mkanda nje utadhani dangote.
Si mnasema katiba yetu inatufanya tuwe na maisha ya hovyo, Sasa hao wenye katiba bora mbona wako hivyo?Jamaa kipimo chake cha kuwa na maisha mazuri ni kupiga pamba kali, wazungu na hata black americans hawana mbwembwe sana kwenye mavazi.........unaweza kuta katupia nguo utafikiri tambara la kudekia na wala hajali, ndo maana wengi hadi maofisini wanavaa casually tu wakati bongo watu wanawekewa hadi sheria za mavazi maofisini.......eti kuvaa jinsi ofisini ni kosa, wakati huko wanako kopi na ku paste sheria wanapiga hadi kaptula ofisini, sembuse suruali ya jinsi......
Hawa wengine walinyimwa visa za kuja Marekani itakuwa, si kwa gubu hili.Achen kujifariji kwani nyie mliopo hapa bongo wote mpo kama bakhresa au Mo??