Bahati nzuri kazi yangu binafsi naweza kufanya nyumbani na ingawa nipo kwenye mambo ya Afya nafanya kama consultant na kusaidia Hospitali kwenye mikataba ya ununuzi. Kuna Watanzania wengi sana ambao wanafanya kazi za huduma za kiafya hawa wote wapo hatarini sana.
Vifaa hakuna vya kutosha maana kila mtu kakimbilia na kununua. Yaani kuna sehemu hata kwenye store hakuna vitu kama vyakula vya watoto, mayai n.k. Watanzania ambao wapo nchi za EU wapo hatarini lakini na wale wote kwa US waliopo New York, Washington, na miji ya California wapo hatarini sana kwa sasa.
Kama una ndugu yako yupo kwenye unesi au shughuli za kiudumu za Afya muombee na wasiliana naye. Kuna ndugu Tanzania sio wote lakini wenyewe ni wapokeaji tu ni wazuri sana kuomba pesa na kutoa list za matatizo ya pesa ili utume kidogo unachopata. Lakini hawa ndugu ukipata shida kwasababu tu unaishi US, Canada au nchi za EU wanafikiri hauna shida kumbe wengine maisha yao yako hatarini kila siku.
Kuna Watanzania mfano wana biashara za ambulance wanabeba wagojwa kila siku na hata wa Corona halafu message wanazopata ni za kuomba pesa tu. Hivyo mimi nashauri kama una ndugu huu ni wakati wa kumjulia hali maana Corona ya Tanzania sio kama huku.
Vifaa hakuna vya kutosha maana kila mtu kakimbilia na kununua. Yaani kuna sehemu hata kwenye store hakuna vitu kama vyakula vya watoto, mayai n.k. Watanzania ambao wapo nchi za EU wapo hatarini lakini na wale wote kwa US waliopo New York, Washington, na miji ya California wapo hatarini sana kwa sasa.
Kama una ndugu yako yupo kwenye unesi au shughuli za kiudumu za Afya muombee na wasiliana naye. Kuna ndugu Tanzania sio wote lakini wenyewe ni wapokeaji tu ni wazuri sana kuomba pesa na kutoa list za matatizo ya pesa ili utume kidogo unachopata. Lakini hawa ndugu ukipata shida kwasababu tu unaishi US, Canada au nchi za EU wanafikiri hauna shida kumbe wengine maisha yao yako hatarini kila siku.
Kuna Watanzania mfano wana biashara za ambulance wanabeba wagojwa kila siku na hata wa Corona halafu message wanazopata ni za kuomba pesa tu. Hivyo mimi nashauri kama una ndugu huu ni wakati wa kumjulia hali maana Corona ya Tanzania sio kama huku.