Jiggy El Jefe
Senior Member
- Aug 10, 2017
- 143
- 170
Wakuu,
nna dozi ambayo haifai kuchanganya na diclofenac, na natakiwa kuianza leo mchana, sasa jana mchana nlikunywa diclofenac pill moja, je mpk sasa itakua out of system ili nianze mchana huu dozi mpya? au nisubiri baada ya muda gani?
Nawasilisha Ndugu zangu.
nna dozi ambayo haifai kuchanganya na diclofenac, na natakiwa kuianza leo mchana, sasa jana mchana nlikunywa diclofenac pill moja, je mpk sasa itakua out of system ili nianze mchana huu dozi mpya? au nisubiri baada ya muda gani?
Nawasilisha Ndugu zangu.