Did Mwalimu die a natural death?

Did Mwalimu die a natural death?

Sisi watu wa pwani, tuna msemo, "Elam ya mout bi saifi mata bi ghairihi, tanawaat 'lasbab, wal mut wahid", bi maana: Afae kwa upanga au kwa kingine chochote kile, kifo ni kimoja tu.

Alie kufa, kafa, hata iwe sababu ipi? Kifo ni kifo
 
Are you talking about Mwalimu the man or Mwalimu the ujamaa? Mwalimu the Ujamaa died naturally.
 
Dude, why would you wanna speculate on Mwalimu's death at all?

Are you in possession of any factual information that has hereto remained hidden from every single individual, including Mwalimu's own wife, his many children, extended family and clan? Why not elaborate any particular reasons you may have for refusing to believe the official version surrounding Mwalimu's death?
 
CoachParcells' right, let Shimbo put on the table whatever evidence he has that makes him doubt the official version of Mwalim's death and we will examine the credability as well as the strength of his evidence.
 
Dah! Jamani wanjf wenye kuhusu issue hii watujuvye. Leo baada ya kupost mchango wangu kwenye hii thread, nilipita sehemu nikakuta mafundi selemara wakibishana, mara mmoja wao kama vile anataka ku win mjadala akasema. Hivi mnajua kuwa hata Nyerere aliuwawa? Sasa huo ni mtazamo wa laymen, je ukweli ni upi?
 
Maswali mengi mtajiuliza wadanganyika. kwasasa ni nyie wenyewe msimame muipiganie Tanzania
 
what about Balozi Ngaiza?

what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha
 
Back
Top Bottom