Did Mwalimu die a natural death?

Kuna la kujifunza tena hapa
 


Aiseee 😲😲
 


Aiseee🤔🤔
 


🤔🤔🤔 Aiseee!!
 
So interesting our lovely president was assasinated
 
Duh nimepakua uzi woote huu tangia saa moja ndio nimemaliza sasahivi saa nne nimejifunza kitu,hakuna wakumuamini duniahiibzaidi ya mungu na mamayako tu
Mimi hata mama yangu mzazi siwezi kumwamini kiasi hicho.
 
Duh nimepakua uzi woote huu tangia saa moja ndio nimemaliza sasahivi saa nne nimejifunza kitu,hakuna wakumuamini duniahiibzaidi ya mungu na mamayako tu
Hata mama anaweza kukugeuka

Hasa kama wewe sio kipenzi chake nambari moja
 
I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"
Wakuu, mi nimelewa kabisa! Aliyeanzisha thread hii, ilikuwa tarehe 19/11/2010. Na ni siku hiyo hiyo ndiyo aliyo jiunga hapa JF. Kinachonishangaza, ni kuwa hajawahi kuandika chochote kingine, si kwa kuchangia kwenye thread za wengine, au kuongezea chochote kwenye hii thread yake. Yaani kwa miaka yote iliyopita, akaunti yake inasoma 1 tu. Au naye baada ya kuandika tu hii thread yake, naye AKAMFUATA MWALIMUUU!!!?
 
I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"

Kuendelea kuficha sababu za marehemu kufa hasa kwa Corona na HIV, kutokujali umuhimu wa huduma za coroner, kutokuwepo na inquests kujiridhisha na sababu za vifo - kutawezesha hao wanaoficha kuendelea kuwa ndiyo washukiwa wa uchawa #1.
 

Mwendazake alisemekana kuwa na ID kadhaa akizitumia kwa ku zoom na kujisemea hiiiiii!

Pumzika kwa amani Bia yetu kama ni kweli ulikuwa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…