Did they actually land on the moon ?

duh........JF kiboko!!sie dotcom huwa tunakaririkarri tu hivi vitu, lakini anyway maisha yanasonga
 
Labda nikuulize. Kwani unaamini kuwa hakuna kiumbe aliyekanyaga mwezini. Ni kwa sababu hakuna technologoa ya kufika huko? Au vipi?

Rejea kwenye post yangu (post namba 28)
 

Hapo kwenye red; mkuu acha kusikiliza story za vijiweni!
 

Kwa jinsi maelezo yako yalivyo, hili jambo unalielewa kwa kiasi kikubwa, sijui ni kwanini unatumia uelewa wako ku-twist ukweli na kuwaingiza wenzio chaka. Yaani story yote umekwenda nayo vizuri sana ila mwisho, kwenye sinema ya nevada, ndipo ulipoacha njia kuu. Tafadhali kamalizie kupitia reference zako vizuri.
 
Tunaweza kukubali kwamba wamarekani walipiga fix kipindi hicho, Lakini landing on the moon is very possible.
 
Qur-an; sura ya 19 aya ya 57 " Na tulimuinua daraja ya juu." ushahidi unaonyesha safari ya kwenda juu ilianza mwaka 1957 (19 ni sura 57 ni aya)
 
Hata Mimi siamini kwamba wamarekani walienda coz ukiangalia video yake kuna bendera ya marekani iliwekwa na ikawa inapepea but kwa physics ya form 2 katika space hakuna hewa sasa bendera ilipepea kwa upepo gani?
Pia hata sauti ya Apollo ilikuwa inasikika katika video but sauti haipiti katika space so how?
Kwa kifupi kidogo tu hivo tukiacha sababu nyingine siamini Kama walifika mwezini
Semeni wadau
 
I am also skeptical about the issue. It is probably the Us=NASA did not land a man on the moon in 1960's.
 

sauti inapita nani kakuambia haipiti,na bendera inapepea who said haipepei ni physics gani unatumia?
 
Swali kubwa la kujiuliza kama wamarekani walishafika huko late 1960 na wana interest ya kwenda huko mbona hawakwenda tena na atempt zote zilizofuata Apollo 11 zilifail Americans bado wana explore jinsi ya kufika Mwezini

no one wants to go back due aliens landing over there and is due to fear on them too,the moon has got storms ,the moon has weird characters that are irrelevant to scientists knowledge,they dont want war with the space angels(aliens) they were warned,AND ITS TRUE AMERICANS LANDED ON THE MOON
 

1.maelezo yako yanajichanganya.

2. Physics ya form two ipi wanafundisha mambo ya space?au mimi ndio nimesahau physics form si mambo ya newton,heat,expansion,energy,power?

3. Jifunze kutofautisha kati ya space na atmosphere.

4. Space ya kitu gani haina hewa?
 
Kuna dokumentari moja
niliiangalia mwakajuzi mwishoni, ikielezea uongo wa kufika mwezini. Vitu ambavyo vilikua vidhihirisha ni 1. Mwendo kasi wa upepo, ambao ulioneshwa hasa na bendera.
2. Kujiakisi kwa picha ya wapiga picha kwenye vioo vya kofia walizo
vaa.
3. Alama za viatu tofauti. Kwenye mwezi,
4. Uwezo wa kuizuia mionzi hiyo, kwakipindi kile.
5. Vivuli, ambavyo vilitofautiana mtu na chombo hicho,


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

Do you watch Myth Busters?!
 
JF inanipanua upeo mno zaid ya shule kunanifanya nisumbue vilaza wezangu kitaa maana wao watu wa kukariri tu mi ndo naonekana msomi sasa na hii kesho naamka nayo kijiwen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…