Did you know that The Big Ben was namen after a black man Benjamin Banneker

Did you know that The Big Ben was namen after a black man Benjamin Banneker

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1567045419091.jpeg



Benjamin Banneker alizaliwa November 9, 1731mjini Baltimore Maryland. Baba yake Benjamin alikuwa mtumwa aliyenunuliwa na mama yake Mary Molly mwanamke wa Kizungu aliyemiliki mashamba. Benjamin alizaliwa wakati utumwa umetikomezwa lakini haki ya mtu mweusi ilikuwa duni sana.

Benjamin alipata elimu ndogo sana ya darasani. Elimu yake kubwa alipata kwa kujisomea na kujiendeleza mwenyewe. Alikuwa surveyor, mkulima na mwana mahesabu.

Mitaala ya elimu haimzungumzii huyu mtu minimums katika uvumbuzi. Nina hamu ya kujua na kuwaelezea mengi kuhusu Benjamin Banneker.

Steve Wonder aliimba “The Black Man” Waimbaji wa Motown waliimba “The first clock to be made in America was made by a black man”.

Huu mwisho unamaana heshima Benjamin Banneker mkulima, mwandishi na mtunzi, mwana ma hesabu na land surveyor.

Benjamin alisoma kidogo kwenye shule za Quaker lakini elimu yake nyingi aliipata kwa jitihada binafsi. Akiwa na umri wa miaka 15 alianza kufanya kazi shambani kama mkulima. Akiwa shambani alibuni kilimo cha umwagiliaji, Benjamin Banneker ndiye aliyebuni irrigation system na alivuna mazao wakati wa jua na mvua.

Lakini uchunguzi wa saa ndiyo uliyomfanya Benjamin Banneker kujulikana zaidi. Mwaka 1750 Benjamin aliazima saa ndogo ya mfuko ni kutoka kwa rafiki tajiri. Aliifungua saa ile na kujifunza namba ilivyofanya kazi

Baada ya kurudisha saa ile Banneker alichonga vipande vya mbao na kuchonga saa iliyofanya kazi vizuri tu tena kwa vizazi vingi. Tangu hapo Banneker alianzisha biashara ya kutengeneza na kurekebisha saa.

Benjamin alikuwa mjuzi wa nyota astronomy na mwaka 1789 alielezea eclipse cable haijatokea.

Mwaka 1790 Benjamini alianza kazi ya uandishi, aliandika jornals mpaka kwa wazir wa mambo ya nje wa Marekani kipindi hicho Thomas Jefferson . Makala zake zilijulikana kama Almanac and Ephemeris of Pennsylvania Delaware and Maryland. Journal hii ilichapishwa mara moja kwa mwaka na katika Makala zake alielezea ukomeshwaji wa biashara ya watu wazima na haki za mtu mweusi. Cha kusikitisha ni kuwa siku ya mazishi ya Benjamin Banneker moto mkubwa ili wala na kuteketeza kumbu kumbu zake nyingi.

Thomas Jefferson alipenda kazi za Banneker na alimteua kuwa kwenye team ya watu watatu wenye jukumu la ku survey na kuweka misingi ya Washington DC. Kiongozi wa team aliyekuwa architect kitaaluma alikasirika na kuacha kazi akibeba ramani zote. Hayo hatakumvunja moyo Benjamin Banneker aliendelea na kazi akiwa kiongozi na kazi ilikamilika.

Kwa kutumia ujuzi wake wa hesabu Banneker aliweza ku kukumbuka ramani na kuchora ramani mpya. Pia alikua na ujauzito wa kinga vyumba welding. Benjamin alikuwa na skills nyingi, mwandishi, mwana sayansi, mwana mahesabu, mkulima, mpigania haki za watumwa.

Nimesikitika kuona kuwa bila kusoma Makala hii kamwe nisingefahamu maana ya the Big Ben, wazungu walishindwa kabisa kumpa Benjamin Banneker full recognition kama inventor of the Big Ben
 
Naam, hadithi mua sana. Nilikuwa sielewi maana ya Big Ben. Hapa umenitoa tongotongo sasa naona na kuelewa vema Big Up!
 
Kumbe na sisi tulikuwa na wakina Albert Einstein lakini historia imefichwa
 
Pia inawezekana kumwita mtu yeyote mwenye jina la Benjamin kama ni mkubwa "Big Ben", na mfupi "Little Ben".
Ila Big Ben kwa kawaida ni kengele ya London.
 
Pia inawezekana kumwita mtu yeyote mwenye jina la Benjamin kama ni mkubwa "Big Ben", na mfupi "Little Ben".
Ila Big Ben kwa kawaida ni kengele ya London.
Ile kengele ya london ina nini pale juu ? Si ndio saa yenyewe inayo ongelewa humu ?
 
Ona hapa matumizi ya jina "Big Ben" yaliyotajwa katika wikipedia:
Big Ben or the Elizabeth Tower is a clock tower in the Palace of Westminster in London, England.

Big Ben or Bigben may also refer to:


Characters
People with the nickname
See also
 
Utashangaa kuwa wamatumbi tumeifanyia dunia hii mengi sana kwa mfano ugunduzi wa microwave oven, na uboreshaji wa taa za umeme (light bulbs).
Sishangai hata kidogo. Hata mimi nimshagundua microwave!
Maana nilikaa kwa rafiki nikaona kifaa kisichoeleweka jikoni kwake, nikaitoa na kuangalia chini pale nikaona sehemu za namba na maandishi pamoja na "Siemens Microwave" - kumbe niligundua microwave! (Ila tu mwanzoni sikuelewa bado ina kazi gani lakini hii niligundua pia baadaye).
Taa za umeme naboresha kila siku. Hali ya kawaida ya taa ni bure kabisa, inakaa tu na kukusanya vumbi. Lakini nimeshagundua nikipiga swichi naboresha taa, inaanza kutoa mwanga!
Hongera kama umeshafika kwenye ngazi hiyohiyo!
 
Sishangai hata kidogo. Hata mimi nimshagundua microwave!
Maana nilikaa kwa rafiki nikaona kifaa kisichoeleweka jikoni kwake, nikaitoa na kuangalia chini pale nikaona sehemu za namba na maandishi pamoja na "Siemens Microwave" - kumbe niligundua microwave! (Ila tu mwanzoni sikuelewa bado ina kazi gani lakini hii niligundua pia baadaye).
Taa za umeme naboresha kila siku. Hali ya kawaida ya taa ni bure kabisa, inakaa tu na kukusanya vumbi. Lakini nimeshagundua nikipiga swichi naboresha taa, inaanza kutoa mwanga!
Hongera kama umeshafika kwenye ngazi hiyohiyo!
Ndio falsafa hii au nini?
Naona kama una unajisi mjadala na JF!

Kuna watu wa rika na uelewa tofauti punguza hizi mambo.
 
Wazungu wao wanaoaakili ya kutangaza yao Vyombo vya habar wanatumia kujitangaza wao mazuri yao mabaya ya wengine Vyombo vyetu vya Habr kaz yake kutangaza vya wazungu mazur ya viongozi mabaya yetu
 
Back
Top Bottom