Did you know?

Sikumbuki ulitumia ID nyingine au

Kuna thread nilituma ktk jukwaa flani...ukaniambia utakula ban...baada ya dakika 2...nakuta ban yenye ujumbe wa
umefungiwa miezi 3
Nilikuja kutana na Nyani Ngabu fesibuku akaniuliza mbona siku hizi huonekani jamvini?....nikamweleza yaliyonisibu
 
Kuna thread nilituma ktk jukwaa flani...ukaniambia utakula ban...baada ya dakika 2...nakuta ban yenye ujumbe wa
umefungiwa miezi 3

Kumbe nilikwambia tu nilidhani nilikusababishia ha ha ha Boflo bana umechange ID naanza kukumbukakumbuka lakini bado naona kizunguzungu maana najua Ban moja tu niliwahi kumreport akalambwa sasa sijui ni wewe au mwenzio hata habari sina basi wewe na donge lako pole sana ishi upendavyo..............
 
Asante kwa somo la kuelewa asali ilyochakachuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…