Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
DuuhSasambu sasambu dida muache Aslay akatafute maisha kutwa kumfungia ndani kama MSUKULE. Loh mwanamke uso haya ww umeumbwa unyani unautaka ungedere. Usojua kuunda vyako kutwa kupamia vya wenzio kama ni rahisi unda vyako utumie na ulivyopewa kipaji cha kuhonga mamako kutwa kajibanza kwenye gorofa za NHC shekilango.. Narudi
Sent using Jamii Forums mobile app
AhahaaaAiseeee kuna watu wana maneno dadeki,kweli nimeamini unaweza kufa Kwa kuchambwa kwamaneno tuu. Hawa ndio wangefaa wawe wahamasishaji wa Taifa Stars
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee,ndio maana dogo kapotea kimuziki siku hizi kumbe ananyonya mikorogoSasambu sasambu dida muache Aslay akatafute maisha kutwa kumfungia ndani kama MSUKULE. Loh mwanamke uso haya ww umeumbwa unyani unautaka ungedere. Usojua kuunda vyako kutwa kupamia vya wenzio kama ni rahisi unda vyako utumie na ulivyopewa kipaji cha kuhonga mamako kutwa kajibanza kwenye gorofa za NHC shekilango.. Narudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini Aslay, ndio inabaki story ivoo, waungwana wahamasishane kumsaidia maana mtoto anatoweka muzikini sasa.
Kumbilamoto kaongeza moto mwingine