Tupe na wewe nini kilitokea mpaka Pac akapigwa Shaba kwenye nyeti ndani ya lift alipoitwa na Big studio pale ghorofani, nani aliewatuma wale manyemera yamtaiti Pac mpaka Big anasema "I told him this isn't a good place, I told him..."Porojo.
Hujui hata umeandika nini, 2Pac aliuwawa kwa risasi wakati anatoka kwenye pambano la Mike Tyson MGM Grand Las Vegas Nevada, gari aina ya BMW lilikuwa linaendeshwa na Suge Knight ndio likamiminiwa risasi Suge Knight alisalimika.Tupe na wewe nini kilitokea mpaka Pac akapigwa Shaba kwenye nyeti ndani ya lift alipoitwa na Big studio pale ghorofani, nani aliewatuma wale manyemera yamtaiti Pac mpaka Big anasema "I told him this isn't a good place, I told him..."
Km ulikuepo vileHujui hata umeandika nini, 2Pac aliuwawa kwa risasi wakati anatoka kwenye pambano la Mike Tyson MGM Grand Las Vegas Nevada, gari aina ya BMW lilikuwa linaendeshwa na Suge Knight ndio likamiminiwa risasi Suge Knight alisalimika.
Kabla ya kutoka ukumbini cctv camera zinaonesha Tupac alikuwa akimshambulia kwa mateke unknown person.