Didier Drogba kocha mpya msaidizi Chelsea!

Didier Drogba kocha mpya msaidizi Chelsea!

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,130
Ni habari zinazotrend kwa sasa kwenye media kubwa kubwa England. Mkakati wa mmiliki wa club ya Chelsea ni kumchukua Guus Hiddink amalizie msimu, huku akiangalia uwezekano wa kumchukua Diego Simeone kuwa kocha wa muda mrefu wa Chelsea!

Vyovyote iwavyo, lakini bosi Roman wapo kwenye 'talks' kukubaliana maslahi na Didier Drogba kufanya kazi na kocha yeyote yule atakayetua hapo Darajani!

Goodluck kwa huyu Ivorian, the legend!

------------------------------
Roman Abramovich Reportedly Considering Didier Drogba for Chelsea Coaching Team | Bleacher Report
 
Drogba si ana mkataba na klabu marekani
 
Back
Top Bottom