matatizo mengine yanasababishwa na watu kutafuta 'perfect partner'
badala ya kutafuta 'perfect partnership' mwisho ndo wanakuja kukutana na wasoyoyatarajia
matatizo mengine yanasababishwa na watu kutafuta 'perfect partner'
badala ya kutafuta 'perfect partnership' mwisho ndo wanakuja kukutana na wasoyoyatarajia
Ha ha ha babu bwana
hiyo blue isikutishe
ni utundu wa mjukuu
kujihami na PM
I saw it comming from day one
niliogopa sana
didn't want to believe it.
and it blew on my face
Hua wanaamini kwamba wamemshikia mhusiaka akili.
Sasa hivyo navyo viko kwenye kero ya MJ1??
Kaka sasa wewe unatuchanganyia madesa!!
What's a perfect partnership without a perfect partner?
Habari ya kusomba somba tu watu ndio hua inasababisha matatizo. Ukweli ni kwamba there is a perfect somebody for everybody, so what you have to do is find someone that is perfect FOR you.
What's a perfect partnership without a perfect partner?
Habari ya kusomba somba tu watu ndio hua inasababisha matatizo. Ukweli ni kwamba there is a perfect somebody for everybody, so what you have to do is find someone that is perfect FOR you.
...Lizzy hebu kuwa mkweli, hutajiskia raha 'kumshikia akili' umpendaye?...lol
...lol...ati mwj1, 'vikofi' hiyo kwako ni kero mamie?
...Lizzy hebu kuwa mkweli, hutajiskia raha 'kumshikia akili' umpendaye?...lol
...lol...ati mwj1, 'vikofi' hiyo kwako ni kero mamie?
Lizzy,
Uliwahi kusikia kuwa kuna watu wanaanza bila hata kufahamiana ila wakilenga kwenye perfect partnership na mwisho wa siku wanakuwa kama mapacha....more than perfect partners??
Tatizo la vijana wa dot com ni kutafuta perfect partners kwa kutumia vigezo vya kufikirika!!
...tatizo huanzia hapo, unayemdhania ni perfect kwako,huenda wewe wala sio kiviiile kwake...!
Lizzy,
Uliwahi kusikia kuwa kuna watu wanaanza bila hata kufahamiana ila wakilenga kwenye perfect partnership na mwisho wa siku wanakuwa kama mapacha....more than perfect partners??
Tatizo la vijana wa dot com ni kutafuta perfect partners kwa kutumia vigezo vya kufikirika!!
...nahisi wengi hawajajua tofauti ya kuoana sababu wanapendana na kuoana ili waishi pamoja!
hapo kwenye vigezo, nahisi vigezo vya "kusadikika" ndilo neno sahihi au?
...tatizo huanzia hapo, unayemdhania ni perfect kwako, huenda wewe wala sio kiviiile kwake...!
Mh...Mbu (a.k.a mosquito), please hebu futa kauli yako haraka kabla Madam Speaker hajafikisha suala la kwenye kamati ya maadili na kinga ya MMU......
MJ anaongelea makofi ya heavy weight (kama yale ya Mike Iron Tyson) halafu wewe unajaribu kuya-romanticize...Hapana mkuu..try to be fair kaka!!
Una maana kuwa unaogopa hata sie vibabu...vibogoyo kabisa??
Ubarikiwe lakini ......na Mungu akukinge na mawazo machafu!!
Babu DC huwezi ukawa na perfect partneship na mtu ambae sio perfect kwaajili yako. Sema tatizo ni kwamba watu wanatumia vigezo ambavyo sivyo kujidanganya kwamba huyu ndie anaefaa kwaajili yangu.
Hua wanaamini kwamba wamemshikia mhusiaka akili.
Vibogoyo???
Wakati wala mihogo wa kutafuna!!! 🙂
Hiyo ndiyo tofauti kati ya 1947 na dot com!!
Babu DC!!