Diego Simeone ni kiboko ya Jurgen Klopp

Atletico Madrid tayari ameshaaga mashindano hana ujanja pale Anfield ingawa soka la leo halina historia lkn kumbukeni kilichompata ndugu yao Barcelona wakiwa full squard, Diego Simeone ajiandae kisaikolojia tu pale atapigwa nyingi tena sio chini ya goli nne na kuendelea.
 
Noted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikariri mambo, hata ATM wanajua kua Barcelona walikiashwa so hawawezi kwenda kizembe hii ngoma bado ngumu pande zote hasa Liverpool kuzuia wasifungwe wkt huo wapate goli mbili
Barca na Messi walifunga 3 pale camp now ila walivyokuja anfield kila mtu anajua nini kiliwakuta.
Tupo half time wameshinda kwao goli mpoja bila nasubili thread yako nyingine baada ya wiki 2 ikiisuppport hii hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barca na Messi walifunga 3 pale camp now ila walivyokuja anfield kila mtu anajua nini kiliwakuta.
Tupo half time wameshinda kwao goli mpoja bila nasubili thread yako nyingine baada ya wiki 2 ikiisuppport hii hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kukariri,mpira haupo hivyo,kumfunga Barca sio formula kua na ATM utamfunga,ila kama ni njia yako ya kujifariji tu basi endelea tu kujifariji,tukutane March 11 pale Anfield panapo majaaliwa.
 
Barcelona hawajawahi kucheza mchezo wa kuzuia wala hawana mbinu ila ATM wakikutangulia kazi unayo sijasema haiwezekani lkn kazi ngumu sana Liverpool wanayo wana asilimia chache sana za kupindua meza
Kwani kwa barca ilikuwaje? Kuzuia kufungwa na kupata goli nne, kumbuka huyo atletico kwa barca ni mchumba tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barcelona hawajawahi kucheza mchezo wa kuzuia wala hawana mbinu ila ATM wakikutangulia kazi unayo sijasema haiwezekani lkn kazi ngumu sana Liverpool wanayo wana asilimia chache sana za kupindua meza

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo atletico kinachomshinda kumfunga barca huko spain ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…