Diesel kuchanganyika engine oil

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
Habarini swali langu kwenu wakuu kuna gari (basi) inatatizo mmoja, wakati upo bararbarani inafanya resii kwa mida tena hapo unakuwa huwezi kuikantrol kwa jambo lolote.

mpaka iyachie wenyewe, na ukipima oil kwa stiki unakuta oil imezidi kupita kiasi, na sio kawaida, nilimpata mtu akaniambia kuwa hapo mzee engine oil ishachanganyika na diesel.

Je, wakuu nini tatizo hasa mpaka oil ikachanganyika na mafuta ya desel na vipi nilitatue hili tatizo' nashukuru.
 
Ina engine gani

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru mkuu nitafata ushauri wako,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…