Diesel na Petroli inauzwa hadi elfu nane Ifakara

Diesel na Petroli inauzwa hadi elfu nane Ifakara

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Nishati ya mafuta ya vyombo vya moto imeadimika na kuuzwa hadi elfu nane kwa lita moja huko Ifakara, Wilaya ya Kilombero.

Huko Rudewa pia nishati hiyo inauzwa hadi elfu tano kwa lita na hayapatikani!

Pamoja na gharama yake kuwa kubwa, ajabu, bado nishati hiyo haipatikani na kumeshuhudiwa msongamano mkubwa wa wahitaji wa nishati hiyo.

Chanzo: ITV
 
Si msemaji wa EWURA alisema kulitokea changamoto ya ushushaji pia na changamoto ya usafirishaji kwenye mikoa ya pembezoni mfano kigoma Na kagera Maana Lory kutoka Dar paka uko inachua almost siku nne, kwa Apo ifakara Ni karibu Froma Dar asa sijui shida nini
 
Si msemaji wa EWURA alisema kulitokea changamoto ya ushushaji pia na changamoto ya usafirishaji kwenye mikoa ya pembezoni mfano kigoma Na kagera Maana Lory kutoka Dar paka uko inachua almost siku nne, kwa Apo ifakara Ni karibu Froma Dar asa sijui shida nini
Aulizwe matope.
 
Watu wakiuliza nchi inaye kiongozi?? Siyi kwamba watu wanamdharau kiongozi wao, bali wanahisi kwamba nchi haina kiongozi na ndiyo maana wanauliza

Nchi haiwezi kuwa inakwenda tu kiholela na viongozi wapo!
 
Kijijini bei haiwez kuwa sawa na mjini

Ova
 
Kigogo 2014 alitoa angalizo mapema sana kwamba Kuna hujuma kubwa juu ya mafuta ... Yametimia
 
Wanatafuta justification ya kumuuzia mwarabu bandari, ionekane TPA hawana uwezo wa kupakua mafuta kwa ufanisi.....janja janja sana hii.
 
Sasa kama Ifakara inauzwa kwa bei hiyo, na Mngeta, Mlimba, Mahenge, Malinyi, nk. Itauzwa kwa bei gani!!

Halfu hivi ile lami ya kutoka Ruaha kwenda Ifakara imeshakamilika, au bado mkandarasi yuko tu site kwa miaka nenda!!
 
Waziri na mkurugenzi wa EWURA Wana la kusema.
Kuna viongozi wanateuliwa ili kuziba nafasi na sio kwenda kufanya kazi.
Kipara &co wamewekwa kuziba nafasi.
 
Back
Top Bottom