Srebrina
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 958
- 426
Habari za kazi ndugu na jamaa, nina kitu naomba tusaidiane uelewa maana nimetafuta majibu mpaka sasa nashindwa kuelewa utofauti, nauliza ivi kuna utofauti gani kati ya police na army?
Maana nikisikia jeshi la polisi najua polisi ni jeshi mara naambiwa polisi sio jeshi yaani nashindwa hata kuelewa nani ni nani
Maana nikisikia jeshi la polisi najua polisi ni jeshi mara naambiwa polisi sio jeshi yaani nashindwa hata kuelewa nani ni nani