Kwaiyo mkuu terms zao za ufanyaji kazi ndio zinatofautiana, na hakuna kwamba nani yuko juu ya nani? Au kwamba polisi wako chini ya wanajeshi kwakuwa hawalindi nchi na mipaka Bali usalama Wa RAIA? Na vipi mfano najua ikitokea Raisi kaenda kwenye maonesho mfano ya Uhuru kunakuwa na police na wanajeshi vipi kuhusu heshima maana mi najua kitu muhimu sana kwenye izi organ ni heshima vipi kuhusu coplo Wa jeshi akikutana na afisa Wa police?Kwa mujibu wa Katiba yetu yote ni Majeshi tofauti ni majukumu.
Mkuu unaposema kupambana unamaanisha nn maana hata police wanapambana na wahalifu na majangiri waliopo ndani hata kama wawe wametoka nje ya nnchiPolisi ni huduma ya kiusalama (inapaswa kuwa police department) na katika nchi za walioendelea ndivyo ilivyo.
Jeshi ni chombo maalum kwa ulinzi wa mipaka ya nchi kwa maana ya kupambana na maadui wanaotishia amani au kuvamia nchi.
Kwa Tanzania jeshi linatakiwa kuwa moja Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), hawa wengine wanapaswa kuwa idara za kiusalama tu.
Sasa polisi inakuwa jeshi inapambana na nani?
Polisi kuwa jeshi inaleta ukakasi sana
Hao ni hawalifu wa kawaida tu ambao hukamatwa na polisi, wavamizi wa nchi ni jukumu la JWTZ hata kama watashirikiana na polisi lakini bado itakua ni mualiko tu.Mkuu unaposema kupambana unamaanisha nn maana hata police wanapambana na wahalifu na majangiri waliopo ndani hata kama wawe wametoka nje ya nnchi