Kwa wale wa zamani kidogo wanafahamu hawa ni moja wa madansa wenye heshima kubwa.
Leo ndani ya Isumba lounge zamani Jolly Club patakuwa na mpambano kati ya wakongwe hawa wa disko.
Kamakawa kwenye machine DJ JD, DJ FAST EDDY na DJ YOUNG KELVIN watahakikisha hukai hata sekunde.
Kwa hisani ya MTAZAMO karibuni sana.