Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Kwa muda mrefu sasa hapa Jf kumekuwa na mpambano.mkali Sana wa hoja Kati ya digba sowey na Mshana Jr kuhusu masuala ya ulozi na Uchawi huku kila mmoja akijinasibu kuwa na ufahamu mkubwa kuhusu taaluma ya ulozi kuliko mwenzake.
Tusiandikie mate wakati wino upo, Jesus is Here, John the Baptist is here and River Jordan is here so nothing can prevent baptism from happening.
digba sowey na Mshana Jr fungukeni ujuzi wenu kuhusu mashaka ya ulozi na Uchawi hapa ili Wana If wajudge Nani Kati yenu yupo vizuri kwenye masuala ya elimu ya ulozi na Uchawi.
Nawasilisha
Tusiandikie mate wakati wino upo, Jesus is Here, John the Baptist is here and River Jordan is here so nothing can prevent baptism from happening.
digba sowey na Mshana Jr fungukeni ujuzi wenu kuhusu mashaka ya ulozi na Uchawi hapa ili Wana If wajudge Nani Kati yenu yupo vizuri kwenye masuala ya elimu ya ulozi na Uchawi.
Nawasilisha