Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
HahahahahahaMmoja atakugeuza kenge, mwengine akurudishe ulivyo.
Watakuwa wamenikosea heshima sanaWalivyona dharau wataview hawato comment wala kureact
Utarogwa kweli wewe..Waambieni waniroge mimi kila mmoja kwa wakati wake halafu nitasema ni nani ana ushirina mkali.
Kwani nimesema waniroge uongo, waiteni.Utarogwa kweli wewe..
Weka majina yako halisi ili uipate Leo usikuWaambieni waniroge mimi kila mmoja kwa wakati wake halafu nitasema ni nani ana ushirikina mkali.
Mmoja atakugeuza kenge, mwengine akurudishe ulivyo.
Kwani unataka urogwe uweje?Kwani nimesema waniroge uongo, waiteni.
Kwani hayasomeki mkuuW
Weka majina yako halisi ili uipate Leo usiku
Na hapa ndipo tunaweza kuamua sio kwa maneno tuMmoja atakugeuza kenge, mwengine akurudishe ulivyo.
Hayo siyo ya kwako Yale uliyoitwa na wazazi wakoKwani hayasomeki mkuu
Mkuu, tuanze kuweka vyeti vya kuzaliwa ili turogwe sasa ππππHayo siyo ya kwako Yale uliyoitwa na wazazi wako
Mkuu, tuanze kuweka vyeti vya kuzaliwa ili turogwe sasa ππππ
Basi nimeahirisha, ajitolee mwingine.
Si ndo hapo sasa, mchawi anaomba details kama unajaza fomu ya NIDA.!Mchawi gani hajui tarehe yako ya kuzaliwa.. π€£ π€£ π€£ π€£