Digidigi ni wanyama wa aina gani? Tanzania wanapatikana wapi?

Digidigi ni wanyama wa aina gani? Tanzania wanapatikana wapi?

Digidigi ni wanyama jamii ya mbuzi pori au swala, wana mfanano wa kimaumbile na swala ila wao ni wadogo kidogo, ni wanyama wa mwituni hawafugwi, wanapatikana kwa wingi mikoa ya kanda ya kati kama Singida, Dodoma na Manyara
 
Jamani msiendelee kuchangia mtamaliza bando lenu!

images.jpg
 
Kweli digidigi ni kama swala.
Lakini huku kitaa hua tunatumia msemo digidigi kurefer wale madem ambao unakula kisirisiri kupoza kiu na genye lakini huwezi kutambulishana hadharani. ( samahani kwa mafeminist)
 
Ni wanyama wanaohisi wanawindwa muda wote. Yuko mmoja Dar anaitwa Makonda na mwingine Arusha ndani ya kisongo government lodge, ukitaka uwaone kwa wingi nenda Mtwara.
 
Jamii ya sokwe wanene na wana sauti nzito kama chidi ford
 
Eti wakuu, digidigi ni wanyama wa aina gani? Wanatofauti gani na swala? Wanafugwa?
Digi digi ni mnyama katika kundi la swala, ni mdogo kama mtoto wa mbuzi. Digidigi ni jina linatokana ni jina la huyo mnyama kwa kiingereza Kik-dik dik ambalo linatokana na kishindo cha miguu anapokuwa anakimbia. Mara zote huwa wawili kwa maana ya jike na dume. Jike akifa Haimchukui dume muda mrefu naye hufariki kutokana na kuomboleza kwa muda mrefu
 
Eti wakuu, digidigi ni wanyama wa aina gani? Wanatofauti gani na swala? Wanafugwa?
Ni jamii ile ile ila wao ni wadogo kimaumbile.

Nyama yao ni very tender, ni kama walivyo kwale upande wa jamii ya ndege.

Nyama yake ikipikwa mchemsho na ukaila, lazima ukiri kuwa: "hakuna nyama pori tamu kuzidi digidigi"!

Wanapatikana kwa wingi Tabora na Singida.
 
Digi digi ni mnyama katika kundi la swala, ni mdogo kama mtoto wa mbuzi. Digidigi ni jina linatokana ni jina la huyo mnyama kwa kiingereza Kik-dik dik ambalo linatokana na kishindo cha miguu anapokuwa anakimbia. Mara zote huwa wawili kwa maana ya jike na dume. Jike akifa Haimchukui dume muda mrefu naye hufariki kutokana na kuomboleza kwa muda mrefu
hiyo midume iache ujinga bas
 
Ukiila nyama yake hakuna rangi utaacha kuiona, ni zaidi ya utamu wa pale kati😋
 
Back
Top Bottom