Digital Marketing:Mfumo wa marketing usiofahamika kwa wengi unaoenda kuua matangazo ya redio na tv

Mtoa mada ka-copy gazeti toka Marekani akaona kayapatia!
Nikweli mkuu sema kashindwa kutoa nfano vizuri wakueleweka viru, kwenye tembeatembea yangu nimengundua wabongo wako mbali sana.

kuna Kampiny moja ya kibongo wanafanya biashara online inaitwa www.digxam.co jamaa wako mbali sana,digital marketing iko mbali sana mkuu hawa jamaa wako kwenye list ya google kati ya makampuni yanayokua kwa kasi sana

tujifunze mambo mapya tuache kubeza kilajambo tuache tusikariri tekinoloji mambo yanabadilika kwa kasi sana
 
Tuache kubagazana
 
Wako vizuri sana.
 
Dah HAMKOSAGI KUKANDIA HATAKAMA JAMBO NI ZURI.
Hapa ni kwetu inabidi tupapende kama palivyo wabongo tunashindwa nini ?

Bongo siwezikushangaa kuajiriwa mtu mwenye elimu ya std 7 anaachwa mwenye PHD ni kawaida bongo.

Mleta mada kaongea kwa ufupi sana hii digital marketing inau biashara nyingi zaidi ya loitaja ndio maana baadhi ya watu hapa awataki kabisa kusikia .

Nani anakumbuka kabla ya smart phone hawa watu walipiga pesa sana leo wako wapi wauza:
  1. Saa
  2. Touch
  3. Studio za picha
  4. Wapiga picha
  5. Redio
  6. Calendar
  7. Betry za Tiger
  8. Calculator
  9. ..........
Watu ni waoga sana wa tekinolojia kwasabu baadhi wanafaidika na mifumo ya kianalogia baadhi ni mazoe watu waishazoe biashara ni kuamka asubuhi kupanda gari au kuchapa nguu kwenda dukani, watu waisha zoea kufanya kazi ni kuamka asubuhi kugombania daladala ndio kufanya kazi.

Kundi la kwanza wanufaika wa mifumo ya kianalogia hili kundi wajiandae watakwenda na maji kama wauza saa touch na betry za tiger kwasabu watu tangu Covid wanafanya online business kufanya kazi zao za makazini makwao kwa njia za online itakuwa ngumu tena kumuibia mtu
  1. Simu
  2. Pochi
  3. Pesa
  4. Dunga dunga kwenye daladala itabaki historia
  5. rushwa makazini
  6. Wachawi
  7. naujinga kibao utakoma
Kundi la pili la watu waoga wa kidigital hawa watabadilishwa na mazingira watadilishwa na wakati wasitumize kichwa.
 
I see
 
Nauliza unawezaje pata target ya age gruop au gender?
mfano nna brand mpya ya condoms ya kiume
tangazo liwa target watu wa umri wa miaka 15-40 wanaume na nataka watu laki mbili liwafikie
Onawezeka kabisa ndio maana inaitwa digital utaweza kutangaza kwa kundi la watu walengwa tu unachagua na location
 

Asante kwa somo zuri mno!
Nitakutafuta !
 
Kongole kwako mtoa hoja.
Binafsi nipo kwenye mchakato wa kufanya digital umesoma kama freelancer. Nimeshasoma courses kadhaa gogle na coursera na nyingine naendelea nazo. Then ntatafuta uzoefu kabla ya kuanza kutafuta clients.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…