MUKOKO AIGOMEA YANGA, IKIMSAJILI USHINDI...!!!DILI LA MUKOKO[emoji1078] KUJIUNGA NA TP MAZEMBE [emoji246] LAKWAMA
Kwa Mujibu wa @leopard_LSA wanaripoti kuwa mazungumzo kati ya Mukoko na TP Mazembe[emoji246] yamesamama kwa sababu za maslahi ya kimkataba ambayo bado Mazembe hawajatoa msimamo wao wa mwisho. Lolote linaweza kutokea.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Nilitaka kusema basi walau mmoja wao asajiliwe kwa mechi za kimataifa tu, nikakumbuka kuwa kumbe Yanga huwa hawashiriki mechi hizo
Dah ! Umewaza mbali Sana mkuu. Hata mimi nilikuwa nawaza hivyo. Asante kwa kunikumbusha.Nilitaka kusema basi walau mmoja wao asajiliwe kwa mechi za kimataifa tu, nikakumbuka kuwa kumbe Yanga huwa hawashiriki mechi hizo