Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
JAMANI, ni ajabu nimewakuta wakenya hapa nzega Tabora, wanafanya kampeni ya kutahiri wanaume, hata watu wazima wanapanga foleni wanaenda kutahiriwa ati kwa kufanya hivyo kunapunguza uwezekano wa kupata ngoma. nilijiuliza kuwa hivi watu wa tabora na waasukuma wanaacha mikono ya sweta?, pia, sisi wabongo tumeshindwa kuhamasisha hadi wakenya waaambie wazungu kuwa sisi watz tuna tatizo hilo wakapata pesa na kuja kuzila huku nzega kwa mgongo huo?
cha muhimu pia, JE? NI KWELI KWAMBA MTU ALIYETAHIRIWA ANAWEZA KUFANYA MAPENZI NA MWENYE NGOMA alafu asiathirike? hivi inaingia kichwani kweli jamani?, kama wanasema friction, of which extent ndo inasababisha ngoma, si nasikia hata yale majimaji tu ya ukeni yanakuwa na virusi, sasa yale majimaji ya ukeni yakiingia kwenye mfereji wa urethra si ngoma iko palepale? what is your understanding about this? YAANI WAKENYA WAMEKUJA KUTUTAHIRI SISI WABONGO,WAKATI KULE KWAO WAJALUO kina odinga hawatahiri, kuna kipindi odinga lifanya kampani hiyo kwa wajaluo wenzie.
cha muhimu pia, JE? NI KWELI KWAMBA MTU ALIYETAHIRIWA ANAWEZA KUFANYA MAPENZI NA MWENYE NGOMA alafu asiathirike? hivi inaingia kichwani kweli jamani?, kama wanasema friction, of which extent ndo inasababisha ngoma, si nasikia hata yale majimaji tu ya ukeni yanakuwa na virusi, sasa yale majimaji ya ukeni yakiingia kwenye mfereji wa urethra si ngoma iko palepale? what is your understanding about this? YAANI WAKENYA WAMEKUJA KUTUTAHIRI SISI WABONGO,WAKATI KULE KWAO WAJALUO kina odinga hawatahiri, kuna kipindi odinga lifanya kampani hiyo kwa wajaluo wenzie.