Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Kwa kweli sasa nimeamini kuwa kenya ni matapeli tupu..Juzi tu nikaweka uzi hapa ni kamwonya JPM aangalie hiyo dili sababu kenya imejaa madollar feki..Leo JPM amesikia na amefuta kandarasi hiyo..
Mijitahadhari na malipo yenu ya mazao!!
Leo mumeponea chupuchupu..Kesho mu kilala mtaingizwa vichakani
Mijitahadhari na malipo yenu ya mazao!!
Leo mumeponea chupuchupu..Kesho mu kilala mtaingizwa vichakani