sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
yaani jibu lako inaonesha unachagua pesa...... mpaka umepata na alternatv ya kudaka mkwanja. gud sex mbona inapatkana tu..... jitaftie kijana uone mambo. achana na vibabu.....(joke).
mwanzoni ilikua ngumu kujua baadhi ya tabia na mambo yake kiujumla kwa sababu hakujionyesha but as days goes nadiscover vitu tofauti na nilivyotarajia... clear??????
Lazima u compee sababu huwezi swma maharage matamu kuliko mboga zote duniani wakati mboga zingine hujawahi kula? Ukionja kuku chomasi utadata kabisaaa!hiki ndicho kinachowaponza wasichana......... comparison.
DONT PUT WORDS IN MY MOUTH! Nimesema ill go for GOOD SEX! Vijana wenyewe chips yai isikauke sanaa? Aaaaah wapi!
Hio alternative nimekuonesha tu you can spot money n take it even from a mile,lakini GOOD SEX these days is. Precious commodity!
WATU. VIBAMIOSIS SYNDROME, WENGINE KUBWA KUZITUMIA KUSHNEY BABU G, PURUKUSHAI MTINDO MMOJA! Cc watu8
Usione waume za watu wanapiga pensi na Pollo tshirt wamekaa bar, na Samsung Note 3 kubwaa ukajiswme his is my dream man,, nywele saluni every week kusawazisha, ukajua walikutana hivi, walikutwa wanavaa wanichoma kumoyo na kuchomekea shir kwenye suruali, bia hawaonji, nywele afro! Wanawake wenzoo jasho limewatoka si utani!
Lazima u compee sababu huwezi swma maharage matamu kuliko mboga zote duniani wakati mboga zingine hujawahi kula? Ukionja kuku chomasi utadata kabisaaa!
Inatakiwa baada ya kuonja enough samples ndo useme kwa sample space hii nadeclare mtu falani ni best of the best!
Matola mtoto wa mjini tayari anayo galaxy note 3 na supraa anazipiga! Sema sio toz kama Daimondo,heis in a class of his own! Anavaa vitu brand brand sio midosho ya kkoo! I can proudly say MY MAN IS PRESENTABLE KABLA HATA SIJATIA MKONO WANGU!
MARK MY WORDS
MATURE LOVe MAKES ROOM FOR THE OTHER TO GROW AND TO HAVE DIFFERENT INTERESTS FROM YOUR OWN, KNOWING THAT KEEPING SOMEONE IN BONDAGE WILL NOT MAKE THE OTHER LOVE YOU MORE, HOWEVER, HAVING THE STRENGTH TO LET THE OTHER HAVE SOME FREEDOM WILL INEVITABLY HELP THE RELATIONSHIP GROW.
MATURE LOVE PERSON KNOS THAT EVEN TODAY WAS A HORRIBLE DAY, TOMORROW CAN BE BETTER, THE BAD PATCHES ARE JUST AS BENEFICIAL TO THE RELATIONSHIP AS GOOD TIMES, AS MATTER OF FACT, THEY CAN OFTEN BE
MATURE LOVE PERSON KNOWS THAT THEY OFTEN LEARN MORE ABOUT EACH OTHER DURING BAD TIMES AND IN CONFLICTING VIEW OR HOBBIES, AND EACH ROUGH SPOTS ARE MEANT TO BE AN OPPORTUNITY TO WORK THROUGH TO ANOTHER STEPPING STONE.
kama maharage yako sio matamu weka tui la nazi. ww wafananisha harage la mafuta na kuku? tia tui uone kama libroila hujalitupa kule. utamu mpaka kisogoni.
Hahahaaaaaaaa! MABIG! Mkenge gani nimewaingiza watu mbona mwanitia ubaya?Alikuwa anawaingiza mkenge tu wenzie....nilijua akipata mtu atawashangaza watu kimisimamo...mimi hajanishangaza kabisa..nilijua itafika hii siku...
mahusiano yenu yalianzaje bila kuwa na baadhi ya interest zinazofanana?
Hahaaaaaaa! HATA UTIE NA ANJINAMOTO BADO HARAGE TU YAKHEEE NA SHURTI USHUZI UTAKUBANA BAADAE! Kantangazeeeeeeeeeeee! Usifananishe kifo na usingizi! Kuku ni kuku na harage ni harage! Ukichoka maharage HAMIA AIRTEL ule kuku kwa mrija!
Hela ya kibamia, mandingo, emolo, tall, pim.bi, hb, sura ngumu ZOTE HELA NA DUKANI ZAKUBALIKA VILE VILE HAIJALISHI YUPI KATI YA HAO KAKUGEA! Upo hapo bibi?hahahahaha!!!! bora upate vyote. unaweza enjoy sex kweli huku account haisomi?? halaf hao unaoweza chop monies kirahis wa wapi?? vizee vya unyamwezini ndani ndani au??
sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
It depends! If i must i go for GOOD SEX! Hela unaweza kuchuna kiurahisi kwa wakuja yeyote but GOOD SEX these days aint easy to get any!