sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Nasikiliza clouds fm dina marios anauliza watu wanapenda harufu gani mbaya...wengine wanasema wanapenda harufu ya uke,,kinyesi, petroli na kadharika...mimi najiuliza hii inafaida gani kwenye jamii? Hawa wasichana nadhani wamechanganyikiwa.....na asitokee mtu hata mmoja aniambia niache kusikiliza clouds...radio ni kioo cha jamii...​