Dina marios na harufu ya uke....live clouds fm

Status
Not open for further replies.

sikiolakufa

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2010
Posts
411
Reaction score
54
Nasikiliza clouds fm dina marios anauliza watu wanapenda harufu gani mbaya...wengine wanasema wanapenda harufu ya uke,,kinyesi, petroli na kadharika...mimi najiuliza hii inafaida gani kwenye jamii? Hawa wasichana nadhani wamechanganyikiwa.....na asitokee mtu hata mmoja aniambia niache kusikiliza clouds...radio ni kioo cha jamii...​
 

Dah kweli watu wamepinda mbaya, hivi huwa anakula ganja eeeh
 
Dina hana kosa, mwenye kosa ni huyo aliyesema aina hiyo ya harifu.
 
Uke una harufu mbaya? thats sound so general to me..
 
Ukifanya kazi pale Clouds kipindi unaandaa mwenyewe Edit ya vipindi unafanya mwenyewe wala hupati shida mifano mizuri sikiliza vipindi vya kina Hando ni kina Kibonde! ukitaka kusikiliza vipindi vya Clouds unatakiwa uwe mwehu!
 
Mimi nilikuwa sifahamu kumbe kuna watu wengine wanapenda harufu mbaya? Kweli maisha ni kupanga na kupanda ni kuchagua.
 
mnataka redio zote waongelee siasa.....hilo ni swala la kijamii,tc tru kwenye society kuna wa2 wanavutiwa na harufu mbaya fulani....cjaona wehu wowote katika kuadress hyo matter....
 

Holy shit!

Say what now?
 
Kama ni mtu mzima una watoto na unapenda kuwalea na maadili tafadhali sana ogopa kusikiliza clouds na kuangalia ze comedy orijino wakati upo na watoto.
 
Ndallo acha kupotosha watu, watangazaji wa Clouds Fm wanao waandaaji wa vipindi vyao tofauti na upotoshaji wako. Power Breakfast kinaandaliwa na Jimmy Francis, Jahazi linaandaliwa na Simon Simalenga, XXL muandaaji ni Soud Brown, Leo Tena inaandaliwa na Moshi Habib na vingine vingi vinawaandaaji wake.
 
sometimes wanatoka bar thn wanaendesha vipindi ndo tatizo
Ukifanya kazi pale Clouds kipindi unaandaa mwenyewe Edit ya vipindi unafanya mwenyewe wala hupati shida mifano mizuri sikiliza vipindi vya kina Hando ni kina Kibonde! ukitaka kusikiliza vipindi vya Clouds unatakiwa uwe mwehu!
 
mmmmhhh harufu ya uke wakati kongo wanapenda ile mbaya..
 
Kweli kabisa wamechanganyikiwa maana utaulizaje kitu kama hicho sijui wamekosa mambo ya kuongelea au inakuwaje. Yaani kuna mambo kibao ya maana ya kuongelea wanaishia kuonge aupumbavu na hiyo inaonyesha jinsi gani upeo wao wa akili ulivyo finyu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…