Dina Marious wa Clouds FM: Mtangazaji anayekuja juu!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912


Jamani kipindi hiki cha Dina Marious mbona hakisikiki au amefukuzwa kazi Clouds.

Mwenye taarifa zaidi anipe taarifa.
 
Chaku si ungeuliza tu Dina yuko wapi mbona hasikiki masuala ya kufukuzwa kazi si kurushana roho tu ndugu yangu?

Subiri watakuja kukujibu wenye ufahamu
 
Sijamsikia siku mbili tatu kwenye leo tena, mwenye taarifa tafadhali atujuze.
 
Jumatatu ya tarehe 29 june mungu akipenda naweza kuwa hewani katika leotena najua mmenimiss na mnaimiss leo tena kama ninavyowa miss mimi tuombeane heri na uzima
Source: Dina Marios
 
Jamani kachukua likizo fupi si mnajua tena akina mama.
 
Chaku si ungeuliza tu Dina yuko wapi mbona hasikiki masuala ya kufukuzwa kazi si kurushana roho tu ndugu yangu?

Subiri watakuja kukujibu wenye ufahamu

Unasikillizaga Leo Tena......?
 
Jamani kachukua likizo fupi si mnajua tena akina mama.
Kuchukua likizo ndo nakipindi kife jamani?hakuna mwingine wa kukiendesha kipindi?
mi ni mpenzi mzuri wa kipindi kile sasa nimeshituka kuona JIIIIIIIIIIIIIIII!!
 
Kuchukua likizo ndo nakipindi kife jamani?hakuna mwingine wa kukiendesha kipindi?
mi ni mpenzi mzuri wa kipindi kile sasa nimeshituka kuona JIIIIIIIIIIIIIIII!!

hehehehe mkuu si unajua vitengo ukimtrain mtu anajua kama utamzidi makali yeye anakomaa kivyake toka nae alipo chukua mikoba kwa Amina Chifupa anakomaa tu mwenyewe lakini tatizo jingine ni kwenye ajira labda clouds hawana mkwanja wa kuajili mareserve kibao.
 
Umesahau kuna simu zenye redio?

asante, kumbe watu wanajirusha na simu mi ya kwangu ya mwaka 99 enzi hizo hakuna,,,,eeh vizuri umelog in DIna tuambie kulikoni si unaina watu wanakutafuta lol...au huyu ni Dina mwingine...hahaha
 

Kwa hiyo na Gea habibu naye yuko likizo naona simskii kabisa kulikoni hizi private sector za kibongo?yaani Boss akienda likizo hata subordnate wanaondoka?
 
Kwa hiyo na Gea habibu naye yuko likizo naona simskii kabisa kulikoni hizi private sector za kibongo?yaani Boss akienda likizo hata subordnate wanaondoka?

Management of employees is a big challenge to most private companies in tz. Ni udhaifu mkubwa mtu kuondoka na ofisi. Hawana business continuity plans, it seems.
 
Management of employees is a big challenge to most private companies in tz. Ni udhaifu mkubwa mtu kuondoka na ofisi. Hawana business continuity plans, it seems.

Hivi wakuu mnazungumzia redio ipi? Clouds hii hii 88.4? hakuna la kushangaza hapo!
 
Kwa hiyo na Gea habibu naye yuko likizo naona simskii kabisa kulikoni hizi private sector za kibongo?yaani Boss akienda likizo hata subordnate wanaondoka?

Dah si unajua tena mkuu hapa bongo ubabaishaji mwingi ukiajili watu kibao kitengo kimoja utawalipa vp?
 
Dah si unajua tena mkuu hapa bongo ubabaishaji mwingi ukiajili watu kibao kitengo kimoja utawalipa vp?

Sawa nakubaliana na wewe kuwa ukiajili watu wengi huwezi kuwalipa ila inategemea na objective ya company yako kama ni kuwado... halafu unawapiga chini automaticaly utarun bankra soon.

Lakini Hata Gea ndo aondoke kisa Dina hayupo mbona hakuna correlation? nisaidie hapo tu hata kama ni ukata basi huu ni Tanzania economic crisis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…