Dinazarde nakupenda

Wewe chura ninae sasa nakalia nini acha kuniharibia
Haha naona umependwa!! Ila dina ile avatar yako ile ya mwanzo ilikuaga tamuuu nilikua naichungulia kila saa.... unakumbuka nilikuibukia PM binti mrembo? Irudishe aisee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…