Lizuri,lina mwanya pia,lina roho nzuri pia ndio moyo hautoki hapoLi tena...
Hivi mkipandishiwa uzi kama ulivyopandishiwa si ma hubby yanakereka eeh?
Vipi joanah umemuachaAsante unaona mrembo wangu Dina
Umepata shemela hahaha,,Haha naona umependwa!! Ila dina ile avatar yako ile ya mwanzo ilikuaga tamuuu nilikua naichungulia kila saa.... unakumbuka nilikuibukia PM binti mrembo? Irudishe aisee.....
Shikamoo shemeji mke wa DJ sepetuLizuri,lina mwanya pia,lina roho nzuri pia ndio moyo hautoki hapo
Eee ndio hivyo yanakereka tu,utashangaa mapovu kilo kumi
Oouh... hongera kwakeLizuri,lina mwanya pia,lina roho nzuri pia ndio moyo hautoki hapo
Eee ndio hivyo yanakereka tu,utashangaa mapovu kilo kumi
Nimeuliza tuu jamaniArghrrrrrrr!!!!!
Si li famasia limeniandikia mbili asubuhi na jioni wakati natakiwa ninywe moja x moja tu ,hapa nishaoga mara tano natokwa jasho tu ,,nasubiri nipate nafuu nikalichambee kabisa linataka kuniua mamaeeDawa umemeza lkni?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] poleSi li famasia limeniandikia mbili asubuhi na jioni wakati natakiwa ninywe moja x moja tu ,hapa nishaoga mara tano natokwa jasho tu ,,nasubiri nipate nafuu nikalichambee kabisa linataka kuniua mamaee
KabisaTena chaka
Noo ilukua hiiUmepata shemela hahaha,,
Hata siikumbuki lakin si ilikua ya amber rose huyu huyu ama?
Nani tena !!!Arghrrrrrrr!!!!!
Marahaba,bado hajatoa mahaliShikamoo shemeji mke wa DJ sepetu
Hapana watu wanakuwa hawajuiOouh... hongera kwake
Ndiyo msiwe mnaruhusu watu kuwaanzishia nyuzi sasa.
Kuna kaka yangu dokta yupo Musoma ndio kaniambia kama ni cipro gram 250 ndio nakunywa mbili,kama ni gram 500 natakiwa ninywe kidonge kimoja tu,ntakunywa asubuhi[emoji1] [emoji1] [emoji1] pole