Aelknes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 246
- 603
Nikiwa kwenye harakati za utafutaji nikakutana na fursa nikaona niruke nayo maana nakidhi vigezo vyote,Cha ajabu nikaja kukataliwa kisa sio muumini wa DINI fulani...
Nimekua nikishuhudia watu wakitengana,wapenzi wakishindwa kuoana,watu kifanyiana chuki za wazi wazi kisa tu wako na imani tofauti
Imekua kawaida watu kufanya maovu na kujificha kwenye kivuli cha kujifanya mtu wa dini sana
Ni kawaida pia watu wa dini kujitenga kwa kujiona wao ni wa tofauti na watu wengine
Ni kwamba DINI ndo inayotugawa au ni sisi ndo tumeshindwa kuielewa?
Nimekua nikishuhudia watu wakitengana,wapenzi wakishindwa kuoana,watu kifanyiana chuki za wazi wazi kisa tu wako na imani tofauti
Imekua kawaida watu kufanya maovu na kujificha kwenye kivuli cha kujifanya mtu wa dini sana
Ni kawaida pia watu wa dini kujitenga kwa kujiona wao ni wa tofauti na watu wengine
Ni kwamba DINI ndo inayotugawa au ni sisi ndo tumeshindwa kuielewa?