Dini mpya inaingia ulimwenguni

Dini mpya inaingia ulimwenguni

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tulikuwa na dili za asili kila pahala ulimwenguni.. Kwenye baadhi ya maeneo mpaka leo zipo na zinaheshimika sana!

Dini hizi ni dini zenye imani juu ya miungu.. Zisizoamini katika Mungu mmoja

Binadamu huwa ni mwepesi kuchoshwa na kitu kilekile kwa wakati wote.

Zikaingia dini zenye kuamini katika Mungu mmoja. Pamoja na tofauti zao kubwa na ndogo lakini bado imani yao ni kwa Mungu mmoja mweza wa yote.. Hata mimi ni mmojawapo mwenye imani hiyo tangu kuzaliwa mpaka sasa

Dini hizi zikaenezwa ulimwenguni kote lakini bado zikishindwa kupenya kwenye baadhi ya maene

Kule ambako zilifanikiwa kupenya watu wengi waliachana na dini zao za asili na kupokea hizi imani mpya

Kwa karne nyingi mambo yameendelea kuwa hivyo lakini taratibu watu wameanza kuzichoka hizi dini zenye imani juu ya Mungu mmoja.. Walimwengu wanataka kitu cha ladha tofauti

Ziliibuka dini zenye imani juu ya shetani lakini uungwaji mkono sio mkubwa sana kwakuwa dini za asili zenye kuabudu miungu na dini mpya zenye kuabudu Mmoja zote kwa pamoja zinamchukulia shetani kama kumbe mbaya

Wao wanachotaka ni imani itakayoleta uwiano kati ya Mungu na miungu. Yani mtu aamini katika Mungu mmoja lakini wakati huohuo awe na imani nyingine ya miungu kama backup

Kwa wale waliowahi kuliona hili ombwe la kiimani waliweza kuchota mamilion ya watu kupitia dini za matukio miujiza na kwa sehemu kubwa ushirikina na mazingaombwe

Ndio hizi dini za watu binafsi zinazoitwa makanisa na vituo vya huduma za manabii ambao wanatembea Mulemule kwenye maandiko ya misahafu lakini matendo yao na mengineyo ni akisi ya dini za asili.

Hawa ni wa mpito tu hata hivyo kuelekea dini moja kuu ulimwenguni kote ambayo ndio itakuja kutawala ulimwengu
 
Tulikuwa na dili za asili kila pahala ulimwenguni.. Kwenye baadhi ya maeneo mpaka leo zipo na zinaheshimika sana!

Dini hizi ni dini zenye imani juu ya miungu.. Zisizoamini katika Mungu mmoja

Binadamu huwa ni mwepesi kuchoshwa na kitu kilekile kwa wakati wote.

Zikaingia dini zenye kuamini katika Mungu mmoja. Pamoja na tofauti zao kubwa na ndogo lakini bado imani yao ni kwa Mungu mmoja mweza wa yote.. Hata mimi ni mmojawapo mwenye imani hiyo tangu kuzaliwa mpaka sasa

Dini hizi zikaenezwa ulimwenguni kote lakini bado zikishindwa kupenya kwenye baadhi ya maene

Kule ambako zilifanikiwa kupenya watu wengi waliachana na dini zao za asili na kupokea hizi imani mpya

Kwa karne nyingi mambo yameendelea kuwa hivyo lakini taratibu watu wameanza kuzichoka hizi dini zenye imani juu ya Mungu mmoja.. Walimwengu wanataka kitu cha ladha tofauti

Ziliibuka dini zenye imani juu ya shetani lakini uungwaji mkono sio mkubwa sana kwakuwa dini za asili zenye kuabudu miungu na dini mpya zenye kuabudu Mmoja zote kwa pamoja zinamchukulia shetani kama kumbe mbaya

Wao wanachotaka ni imani itakayoleta uwiano kati ya Mungu na miungu. Yani mtu aamini katika Mungu mmoja lakini wakati huohuo awe na imani nyingine ya miungu kama backup

Kwa wale waliowahi kuliona hili ombwe la kiimani waliweza kuchota mamilion ya watu kupitia dini za matukio miujiza na kwa sehemu kubwa ushirikina na mazingaombwe

Ndio hizi dini za watu binafsi zinazoitwa makanisa na vituo vya huduma za manabii ambao wanatembea Mulemule kwenye maandiko ya misahafu lakini matendo yao na mengineyo ni akisi ya dini za asili.

Hawa ni wa mpito tu hata hivyo kuelekea dini moja kuu ulimwenguni kote ambayo ndio itakuja kutawala ulimwengu
Umesema kweli mkuu.
 
Kipindi nasoma chuo ,niliwahi kumuuliza swali mwalimu wangu wa psychology,kuwa kwanini maranyingi unakuta mtu anatembea,aidha ameshikilia mkoba au funguo,za ofisini,gari,nyumbani anakuwa anazitingisha,tingisha,siyo funguo tu ,Bali hata pen,nk,japo siyo marazote,jibu la huyo mwalimu lilikuwa,mwanadamu awaye yote,pia hata natural creatures zipo katika hatua ya kutafuta balance ( center of gravity),hii ni asili ambapo ndiyo maana katika Imani Kuna mungu/ yesu na upande WA pili Kuna ibilisi/ shetani na matendo yake ,hii yote ni kutengeneza balance katika social gravity,akaendelea Dunia yote, na wanafizikia,wanauchumi,na wanasiasa,watawala nk wako katika kutafuta (center of gravity) za kiuchumi,siasa, Sheria nk,na ndiyo maana watanzania Leo ,tunang'ang'ana tupate katiba mpya,lengo ni kutengeneza balance ( center of gravity,) ya jamii hii ya watanzania katika mambo ya kiuchumi, kiutawala,kijamii,kibiashara,kimadaraka nk.
Kuhusu mada ya Leo Dini, ya asili ambayo imetangazwa kuingia sokoni,pia ni aina Fulani ya balance ( center of gravity),kwa maana dini zilizopo Sasa( za watu binafsi )zimekuwa maduka ya kunufaisha kiuchumi wakurugenzi wa dini hizo,ikitokea Huna pesa,na ni muumini wa dini hizi, inabidi uchague kuwa muumini vugu vugu au baridi,kwa maana inakuwa huendani na falsafa ya uchumi dini mbele ya mkurugenzi wa dini ile unayoifuata na kufanya Ibadan humo,Sasa kundi hili la vugu vugu na baridi nalo limekuwa kubwa Sana,kimeanza kutoa mshindo wa kutaka kubalance Mambo ili ile( centre of gravity )ifanye kazi vizuri kanuni ya asili ya kijamii lazima itende kazi yake "the universal law of diminishing returns" makanisa na dini binafsi vinaongezeka ,lakini waumini hawaongezeki,wnanyang'anyana waumini wake wake,tu,IL Hali kunakundi kubwa limeweka silaha chini.kwahiyo pale mazingira yanalazimisha iwepo balance,nafikiri ni muda muafaka Sasa,balance ichukue nafasi
 
sasa nini maoni yako,mpango,ushauri,onyo,ghafiriko na hitimisho...?
Okoka
FaizaFoxy akija atasema ni uislamu.

FaizaFoxy akija atasema ni uislamu.
Hizi ndio dini za mapokeo zinazomaliza enzi zeke
Kipindi nasoma chuo ,niliwahi kumuuliza swali mwalimu wangu wa psychology,kuwa kwanini maranyingi unakuta mtu anatembea,aidha ameshikilia mkoba au funguo,za ofisini,gari,nyumbani anakuwa anazitingisha,tingisha,siyo funguo tu ,Bali hata pen,nk,japo siyo marazote,jibu la huyo mwalimu lilikuwa,mwanadamu awaye yote,pia hata natural creatures zipo katika hatua ya kutafuta balance ( center of gravity),hii ni asili ambapo ndiyo maana katika Imani Kuna mungu/ yesu na upande WA pili Kuna ibilisi/ shetani na matendo yake ,hii yote ni kutengeneza balance katika social gravity,akaendelea Dunia yote, na wanafizikia,wanauchumi,na wanasiasa,watawala nk wako katika kutafuta (center of gravity) za kiuchumi,siasa, Sheria nk,na ndiyo maana watanzania Leo ,tunang'ang'ana tupate katiba mpya,lengo ni kutengeneza balance ( center of gravity,) ya jamii hii ya watanzania katika mambo ya kiuchumi, kiutawala,kijamii,kibiashara,kimadaraka nk.
Kuhusu mada ya Leo Dini, ya asili ambayo imetangazwa kuingia sokoni,pia ni aina Fulani ya balance ( center of gravity),kwa maana dini zilizopo Sasa( za watu binafsi )zimekuwa maduka ya kunufaisha kiuchumi wakurugenzi wa dini hizo,ikitokea Huna pesa,na ni muumini wa dini hizi, inabidi uchague kuwa muumini vugu vugu au baridi,kwa maana inakuwa huendani na falsafa ya uchumi dini mbele ya mkurugenzi wa dini ile unayoifuata na kufanya Ibadan humo,Sasa kundi hili la vugu vugu na baridi nalo limekuwa kubwa Sana,kimeanza kutoa mshindo wa kutaka kubalance Mambo ili ile( centre of gravity )ifanye kazi vizuri kanuni ya asili ya kijamii lazima itende kazi yake "the universal law of diminishing returns" makanisa na dini binafsi vinaongezeka ,lakini waumini hawaongezeki,wnanyang'anyana waumini wake wake,tu,IL Hali kunakundi kubwa limeweka silaha chini.kwahiyo pale mazingira yanalazimisha iwepo balance,nafikiri ni muda muafaka Sasa,balance ichukue nafasi
makanisa na dini binafsi vinaongezeka ,lakini waumini hawaongezeki,wnanyang'anyana waumini wake wake,tu,
 
na hakuna binadamu ambaye ataumizwa na kukandamizwa na satanism kama black man, Christianity ilimtoa black man utumwani leo hii black man tunajua kusoma na kuandika, tunaishi nyumba nzuri na kazi tunaamka asubuhi kwenda kazini na kurudi nyumbani kwa familia thanks to Chritianity, tuna mahakama za kutoa haki, tuna Bunge yote hii mnaichukulia poa lkn ililetwa kwetu na Christiniaty, mnashangilia vita na persecution of Christianity lkn bila ya Christianity black man will suffer and be enslaved for ever, first victim wa luciferian atakuwa black man, wengine wanaweza kujitetea angalau …
 
Back
Top Bottom