Dini ni hatari kuliko shetani mwenyewe.

Dini ni hatari kuliko shetani mwenyewe.

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Dini ni mpango wa binadamu katika kumtafuta Mungu.

Hakuna anaejua ukweli kama binadamu yupi ameupatia mpango huo ama ameukosea.

Waislam wanaamini wapo sahihi na wakristo wataenda motoni.

Wakristo nao wanaamini wapo sahihi hivyo waislam wanakosea wataenda motoni.

Wasabato wanaamini wao ndio wapo sahihi na wa katoliki wanakosea hivyo wataenda motoni

Wakatoliki nao wanaamini wao ndio wapo sahihi. Wasabato wanakosea hvyo wataenda mtoni

Dini zimesababisha mauaji mengi sana ya binadamu.


Ukweli dini ni kitu hatari sana.
 
Mijadala ya dini huwa inaongezeka sana kipindi cha ibada maalum kwa waumini wa hizi dini, hasa Ramadhani na Kwaresma.

Mna ajenda gani?
 
Ila ni hizi Dini mbili ndio zinazingua mbona Budha wao hatusikii kesi
 
Ile dini iliyoandikiwa aya za kishetani ndiyo hatari. Ni kansa ya dunia iliyopumbaza wengi hasa wenye akili ndogo, low minded. Kuna watu wanateseka mchana huu kwa kujitesa wenyewe kisa imani ya dini hiyo.
 
Dini ni utapeli,njia, harakati, mishemishe, mbilingembilinge za mwanadamu kutafuta riziki kupitia jina la Mungu

Wokovu ni njia ya Mungu kumtafuta mwanadamu aliyepotea dhambini

Wokovu ni simple tu ,

Dini sasa ,ndio hizi unasikia watu wameuziwa maji ,mafuta ,keki kwa 100k

Ndio hizi unasikia kumpiga mawe shetani na kunufaisha Saudia Arabia

Ndio hizi unaambiwa usipoenda kanisan au misikitini huwezi kuiona pepo

Dini zimeweka taratibu za vitisho ,Hadi matajiri wanamwaga pesa

Dini ndio hizi Wana taratibu masikini akifa hazikwi na padre au sheikh ila kingunge ngombare mwiru alizikwa na Maaskofu


Hizo ndio dini


Dini ni biashara Leo masanja ni Mchungaji anakusanya zake sadaka ,mwamposa kutoka ileje ni nabii

Matapeli kina Mazinge, sheikh Firdaus, Sharifu majini na matapeli wengine wanauzia watu ,maji ,mafuta n.k


HIZO NDIO DINI NA WATU WAPO TAYARI KUZIPIGANIA HATA KUUANA


Lakini Wokovu ni simple tu ,cheki yule mwizi msalabani alivyookolewa ,hajawahi kubatizwa wala kufata taratibu zenu za dini

Yesu alisema ,Watoza ushuru na makahaba wanawatangulia kuingia mbinguni,aliwaambia viongozi wa juu wa DINI


Maana Dini zimejaa utapeli mwingi sana ,
 
Dini ni mpango wa binadamu katika kumtafuta Mungu.

Hakuna anaejua ukweli kama binadamu yupi ameupatia mpango huo ama ameukosea.

Waislam wanaamini wapo sahihi na wakristo wataenda motoni.

Wakristo nao wanaamini wapo sahihi hivyo waislam wanakosea wataenda motoni.

Wasabato wanaamini wao ndio wapo sahihi na wa katoliki wanakosea hivyo wataenda motoni

Wakatoliki nao wanaamini wao ndio wapo sahihi. Wasabato wanakosea hvyo wataenda mtoni

Dini zimesababisha mauaji mengi sana ya binadamu.


Ukweli dini ni kitu hatari sana.
Religion is the opium of the people
 
Back
Top Bottom