Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Mimi Mjanja M1 siamini dini yoyote ulimwenguni lakini haimaanishi kuwa sitaki dini ziwepo ulimwenguni.
Nimekaa na kutafakari sana endapo kama huu ulimwengu ungekuwa hauna Imani za dini ingekuaje, jibu nililopata ni kwamba binadamu tungeishi kama Wanyama.
-Watu wangezaliana hovyo na hata kushiriki tendo na ndugu zao.
-Watu wangedhurumu wenzao kwakuwa wanaamini hakuna hukumu huko mbeleni.
-Watu wangeuana na kufanyiana unyama bila ya kujali lolote.
-Malezi ya familia yangekuwa hamna (Kizazi kilichopotea) n.k
Namalizia kwa kusema, NI MPUMBAVU PEKEE NDIO ATAPINGANA NA HILI BANDIKO HADHIMU.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Berlin Germany 🇩🇪
Nimekaa na kutafakari sana endapo kama huu ulimwengu ungekuwa hauna Imani za dini ingekuaje, jibu nililopata ni kwamba binadamu tungeishi kama Wanyama.
-Watu wangezaliana hovyo na hata kushiriki tendo na ndugu zao.
-Watu wangedhurumu wenzao kwakuwa wanaamini hakuna hukumu huko mbeleni.
-Watu wangeuana na kufanyiana unyama bila ya kujali lolote.
-Malezi ya familia yangekuwa hamna (Kizazi kilichopotea) n.k
Namalizia kwa kusema, NI MPUMBAVU PEKEE NDIO ATAPINGANA NA HILI BANDIKO HADHIMU.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Berlin Germany 🇩🇪