Diploma in human resource management and diploma in public administration

Diploma in human resource management and diploma in public administration

Jamany = jamani
Mzury = nzuri

Mengine utashauriwa barabara.
 
I like human resource management, its so good.
 
kwa ushauri cku nyingine kama una hata mdogo wako akiwa kwenye level ndogo ya education namaanisha diploma na chet usisome au asisome hr.HR kwa maoni yangu level ndogo inabidi usome degree.

Sawa mzee
 
Angalao HR unaweza omba kazi private na Public Institutions lakini Public Admin inakubalika zaidi kwenye serikali,wakala au mashirika ya umma. Sekta binafsi sijaona wakitangaza.
 
Angalao HR unaweza omba kazi private na Public Institutions lakini Public Admin inakubalika zaidi kwenye serikali,wakala au mashirika ya umma. Sekta binafsi sijaona wakitangaza.

Great mkuu nmekusoma vilivyo
 
Back
Top Bottom