Kasome agriculture science, wakulima ni wengi na shughuli za matumizi ya ardhi ni for life. Hii inaweza kukusaidia pia kujiajiri katika kilimo kuliko hii ya laboratory Technology kwa sasa maabara hakuna na hata zilizopo hakuna vifaa ni majengo tu yamesimama na hakuwa wa kushughulika naye.
Uchaguzi ni wako.